Wakuu huyu memba mwandamizi kada wa ccm ya kale na mshabiki wa Chadema kisiri siri yuko wapi? Sijamsikia tangu JF ilipofungiwa.
Au alikula shaba ile Oct29?
Mwenye taarifa zake atujuze au
Mshana Jr kama unaweza fanya mambo ya kitamaduni tujue yuko wapi huyu member wa ccm