mukama talemwa
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 160
- 29
Yuko wapi huyu jamaa baada ya kushinda kesi yake,au sheria inasemaje si anatakiwa kurudishwa kazini?Huyu jamaa angesaidia saana kufichua madhambi na uozo wa idara mbalimbali za serikali na idara zake.