Yuko wapi Jerry Muro?

Yuko wapi Jerry Muro?

mukama talemwa

Senior Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
160
Reaction score
29
Yuko wapi huyu jamaa baada ya kushinda kesi yake,au sheria inasemaje si anatakiwa kurudishwa kazini?Huyu jamaa angesaidia saana kufichua madhambi na uozo wa idara mbalimbali za serikali na idara zake.
 
weekend km mbili zilizopita nilimuona pale ze Calabash pub Mwenge alikuwa na mkewe wanagonga vitu..!
 
Kwahiyo Tbc wamemtema kesi kashinda sasa kwanini hawajamrudisha kazini?
 
yuko channel 10 ameajiriwa

Real? daaa! jamaa namkubali sana, but TBC cjui vp,taratibu c ziko wazi mtu akiwa na kesi analipwa nusu mshahara hadi hukumu itoke? kama kashinda analipwa malimbikizo ya ile nusu yote kwa miezi yote kisha anaendelea na kazi kama kawa?
 
Yuko wapi huyu jamaa baada ya kushinda kesi yake,au sheria inasemaje si anatakiwa kurudishwa kazini?Huyu jamaa angesaidia saana kufichua madhambi na uozo wa idara mbalimbali za serikali na idara zake.

Anakula honey moon bado
 
Yupo na wife wake cjui mmarekan yule au mwingereza lakin kizungu kidada kikali vibaya.
 
Real? daaa! jamaa namkubali sana, but TBC cjui vp,taratibu c ziko wazi mtu akiwa na kesi analipwa nusu mshahara hadi hukumu itoke? kama kashinda analipwa malimbikizo ya ile nusu yote kwa miezi yote kisha anaendelea na kazi kama kawa?

Mkataba wake uliisha kabla ya hukumu..
 
Mkataba wake uliisha kabla ya hukumu..

Thanks mkuu,sitamsahau alivoibua uozo wa trafiki polisi chek point Igumbiro pale Iringa,,walikuwa wanatutesa sana madereva wa malaori,full manyanyaso, walitimuliwa kazi jamaa watano hivi,wengine kuhamishwa baada hapo kuna kajidiscipline flani kwenye utendaji wao!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom