Mixer ya mzungu na mnyarwanda anatokea mchaga,lol
Badili avator yako jamani
Ushawahi waona wamachame au wairaki? Unaweza ukafikiri point tano kumbe mswazi,so usidanganyike na rangi utamu wa chai sukari.
Jerry muro alikuwa mpigaji wa makorongwee!si mtu safi kama anavyoonekana na watu wengi!
Jamaa yuko shule chuo cha Tumaini dar mwaka wa pili anajipiga msasa ili akirudi afanye kazi kwa ufanisi zaidi, kwahiyo wezi wote mkae chonjo......
jackbaur.hivi huyu mtu ndio kapotea kabisa?!
Tangu kesi yake imalizike mpaka leo sina taarifa za huyo bwana..Jamani msaada kwa anaye jua anapatikana wapi na anafanya nini?
kwa nn nibadili avator yangu na mm naipenda..! Ina represent maisha ya watanzania walio wengi.!