Yuko wapi FreeMan Mbowe kamanda wa anga?

Yuko wapi FreeMan Mbowe kamanda wa anga?

🤣🤣🤣.NYUMBU wa lisu hamna HOJA MKIBANWA KIDOGO MKIMBILIA MATUSI.mnaonyesha ni jinsi gani Sasa hivi chadema imebakiwa na wahuni.
Wahuni wameuza bandari wapate pesa ya kununua baiskel,
Wahuni wameteka zaidi ya Watanganyika 200,
Wahuni wameuza Ngorongoro
Wahuni wamefisadi nchi
Wahuni wameuza CCM yote mfukoni Kwa wahuni
 
Wahuni wameuza bandari wapate pesa ya kununua baiskel,
Wahuni wameteka zaidi ya Watanganyika 200,
Wahuni wameuza Ngorongoro
Wahuni wamefisadi nchi
Wahuni wameuza CCM yote mfukoni Kwa wahuni
Bora hao kuliko NYIE msiojua kujenga hoja kutetea chama chenu.
 
Ufala wa Mbowe unahusu vipi jamii......, mimi ninayetambua maadui zetu ni Ujinga, Umasikini na Magonjwa na kwa karne hii worldwide siasa ni platform za watu kupitia kupata Kura kwenda Kula; siwezi kuangahika na individuals katika maamuzi ya maisha yao ingawa pia nikiona majority wanawekeza muda wao huko sio mbaya tukikumbushana matumizi mabovu ya rasilimali muda..,

Wakati nyie panzi mnaendelea kupambana Mwewe anaendelea kuwatafuna mmoja mmoja (na Hapa panzi sisemi ni Upinzani pekee bali hata Mende CCM) kwa kukosa Vision na Uzalendo; Mwewe ni Developed Countries zinazoendelea kutafuna haya mataifa (Africa as a Whole)

That is the Bigger Picture (tusiangalie mambo katika Pixel Level) tutashindwa kupataTaswira....
Hii hoja utatukanwa weeee
Maana umetumia hoja kubwa katikati ya watu wanaofikiria ujinga..
Fuatilia uone...kama wanaompinga mbowe ukawapa hoja hii we sahau kujibiwa kwa hoja
 
Hoja utaielewa hapo ushahongwa wali na tshirts unasubiri Bashite ashinde akuletee Vandame ukenue hiyo minjino ya njano
sawa mwanachama wa chadema.
Kila la kheri kwenye ukombozi wa nchi hii .naamini Kwa matusi yenu mtaingia ikulu.
 
Mbowe yupo anabunya tu ile b12 aliyopewa kumzuia Lissu asichaguliwe kuwa mwenyekiti yeye alitumia m300 tu hivyo b11.7 iko kwenye account yake.
 
Unajua mtu mlevi akiwa mwizi ni hatari sana, ndo yake yale ya Ntu wa kazi.
 
Mbowe alizoea kuishi kwa siasa za kilaghai siasa kupitia damu za watu na kutengeneza wealth. Alivyokuja mwamba Magufuli akaona kumbe upinzani wanapiga kelele then unawaita Ikulu unawapa bahasha zenye minofu then wanatulia baadae njaa ikiuma wanawasha tena moto then unawaita tena mzee akaona hamna upinzani. Bora pesa hizo zipelekwe kwenye miradi ya Maendeleo ndo maana Magufuli pesa ya kufanyia maendeleo aliipata pamoja na kwamba alikua anakopa na kazi ilikua inafanyika tuliona.

Magufuli akaondoka mzee Mbowe akarudi kuendeleza siasa za nusu mkate hapa ndo akakutana na Jabali jingine linaitwa Antiphas Lissu Mgwahi huyu ndo kamtupa nje kabisa kwenye siasa za tanzania. Mbowe alishindwa kusoma majira na nyakati. Mbowe ameshindwa kufika hata Mahakamani kumuona mwenyeki wake? Chadema kwa nini mpaka mda huu hamjamfukuza uanachama Mbowe au mnamuogopa?
View attachment 3480328
The funny part wanaomtetea Mbowe sasa hivi ni hawa chawa wa bi Urojo.
Fuatilia hii thread na utaliona hilo crystal clear.
 
Mbowe
Huna ulijualo dogo.kabla ya chadema alikuwepo CUF ya Ibrahim lipumba na marehemu mzee sharifu hamad kipindi hicho ndo walikuwa chama kikuu Cha upinzani.chadema chamtoto.
Mwaka 2005 mnyika anakuja mansese kwenye kampeni anagombea ubunge wa ubungo Kuna watu hata 100 hawafiki.ila mbowe akaja kukipaisha chama hadi chadema hyo unayoiona na kuwa chama kikuu Cha upinzani.TATIZO NYIE WATOTO WA 2000 MNAMJUA LISU.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbowe hawezi kupandisha chama ila wananchi ndo wanaweza kupandisha chama ndo maana Mbowe wamemkataa unavyosema CUF ilikua zaidi ya unajua population ya kipindi kile na sasa ni tofauti kama hujui hata population maana yake hatuwezi kubishana population ya miaka hiyo Naweza KUSEMA CUF bado cha mtoto
 
Mpuuzi yule.katuchelewesha sana ana roho mbaya sana
Akili za kushikiwa ni shida. Ati Mbowe kawachelewesha!! Haya Sasa mmewahi. Chama hakitakuwa na diwani Wala mbunge Kwa miaka mitano ijayo huko ndio kuwahi🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom