Ufala wa Mbowe mimi ninayetambua maadui zetu ni Ujinga, Umasikini na Magonjwa na kwa karne hii worldwide siasa ni platform za watu kupitia kupata Kura kwenda Kula; siwezi kuangahika na individuals katika maamuzi ya maisha yao ingawa pia nikiona majority wanawekeza muda wao huko sio mbaya tukikumbushana matumizi mabovu ya rasilimali muda..,
Wakati nyie panzi mnaendelea kupambana Mwewe anaendelea kuwatafuna mmoja mmoja (na Hapa panzi sisemi ni Upinzani pekee bali hata Mende CCM) kwa kukosa Vision na Uzalendo; Mwewe ni Developed Countries zinazoendelea kutafuna haya mataifa (Africa as a Whole)
That if the Bigger Picture (tusiangalie mambo katika Pixel Level) tutashindwa kuelewa Taswira....