Yuko wapi Fina Mango...

Yuko wapi Fina Mango...

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
16,393
Reaction score
38,005
Huyu mwanamama sijamsikia muda mrefu...
Nimesikia kibao chake cha Shoga hapa kikanirudisha mbali sana..

Vipi kwa sasa yupo wapi na anafanya nini?

Uzi tayari!
 
Tangia Aondoke Kwenye Powerbreakfast pale Mawingu FM na Masoud Kipanya sijuagi alipo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom