Yuko wapi Fina Mango...

Yuko wapi Fina Mango...

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
16,305
Reaction score
37,701
Huyu mwanamama sijamsikia muda mrefu...
Nimesikia kibao chake cha Shoga hapa kikanirudisha mbali sana..

Vipi kwa sasa yupo wapi na anafanya nini?

Uzi tayari!
 
Huyu mwanamama sijamsikia muda mrefu...
Nimesikia kibao chake cha Shoga hapa kikanirudisha mbali sana..

Vipi kwa sasa yupo wapi na anafanya nini?

Uzi tayari!
ni secretary wa January makamba
 
Tangia Aondoke Kwenye Powerbreakfast pale Mawingu FM na Masoud Kipanya sijuagi alipo.
 
Kwani huyo F. Mango ni mama wa Taifa hadi wote tumfahamu! ???

Weka picha mzee baba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom