Yuko wapi mwanadada Jenipher Mgendi?

Mnyunguli

JF-Expert Member
Dec 21, 2020
1,772
4,463
Huyu dada muimbaji wa nyimbo za injili na kisauti chake kizuri kama cha mtoto yuko wapi wadau sijamsikia kitambo sana kwenye game.

Kuna kibao chake kimoja kinaitwa ninalia halafu kinaitikiwa pole sana....kitambo sana asee

Yuko wapi dada Jenipher Mgendi mwenye kujua tafadhali.

Uzi tayari.

1716433409328.jpeg
 
Huyu dada muimbaji wa nyimbo za injili na kisauti chake kizuri kama cha mtoto yuko wapi wadau sijamsikia kitambo sana kwenye game.

Kuna kibao chake kimoja kinaitwa ninalia halafu kinaitikiwa pole sana....kitambo sana asee

Yuko wapi dada Jenipher Mgendi mwenye kujua tafadhali.

Uzi tayari.
Yupo,naona toka alifiwa na mume wake amekua kimya sana
 
Sijui kwanini msanii akiimba kitu kinampata

PNC aliimba imebuma na akabuma
Ferooz starehe ,kweli starehe hazikumuacha salama

Q chillah kuhusu ndugu kweli alipokuwa drug addicted ndugu zake walimtupa .he was dumped


Kuandika na kuimba huwa kuna nguvu kubwa Sana. Spirituality
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom