YUKO wapi Dr Ulimboka Na mgomo wake...KAPOTEZA AJIRA?

Nikupe cell number yake umuulize?

Ny.e.g nyingine bana!
huyo anashida zake kubwa tu, muache mazee tukaangalie ule mradi wa kufuga kenge hauna msimamizi na huyo bi kizee atatusaidia sana naskia mbaya kweli kwenye maji ya mitaro
 
tatizo mnapenda kutukana matusi yasiyokuwa na kichwa wala miguu ndo usomi au hasira zisizokuwa na maana tunauliza kujua kwa sababu pinda kasema lake kama mtu unadata zaidi ya pinda ili wananchi waelewe si unatoa kuliko mtu mzima
kutoa maneno machafu.dah! Kazi ipo ok endeleeni kutukana wenye midomo yenu misafi
 
acha kukurupuka wewe,kwani aliyetoa taarifa watu warudi emergence ni nani? Tafuta habari kwa umakini ndo uandike humu. Leo wanakutana na kamati ya bunge ili kufikisha madai yao. Muhimbili hakuna hata specialist anayefanya kazi,wote wako kwenye vikao endelevu. Theatre kuna nurses na anaesthetists tu. Kama huamini nenda hospitali ya umma ukatibiwe uone kama huduma zipo.

nyie madaktari ni wauaji wakubwa.mnaweka maslahi ya matumbo yenu mbele badala ya uhai wa binadamu....shame on uuuuuuuuu
 
Jamani msiongee kwa jazba kuhusu huyu ulimboka. Arudi tu kazini. Hii ndio serikali tuloichagua na wakicheza kweli ajira watapoteza, unajua kwa nini sikuhizi tz karibia madaktari 200 wanagraduate... so unafikiri why serikali wanaringa
wanaringa kwasababu wanaandikiwa refero za kwenda india.
 
jamani msiongee kwa jazba kuhusu huyu ulimboka. Arudi tu kazini. Hii ndio serikali tuloichagua na wakicheza kweli ajira watapoteza, unajua kwa nini sikuhizi tz karibia madaktari 200 wanagraduate... So unafikiri why serikali wanaringa

hivi unajua wangapi wanastaafu kila mwaka?.... Na hao 200 unajua ni wangapi wameenda kujendeleza tu tayari wana ajira?.......

 
Sijui nani alikuwa anamtuma huyu jamaa
maana sijui kaishia wapi watu wamarudi kazini
kufanya kazi yeye kapoteza ajira

images

Dr Ulimboka!

Be care tena mara dufu ujijuavyo TISS hao nyuma yako!
 
tatizo mnapenda kutukana matusi yasiyokuwa na kichwa wala miguu ndo usomi au hasira zisizokuwa na maana tunauliza kujua kwa sababu pinda kasema lake kama mtu unadata zaidi ya pinda ili wananchi waelewe si unatoa kuliko mtu mzima
kutoa maneno machafu.dah! Kazi ipo ok endeleeni kutukana wenye midomo yenu misafi

kwa utashi wako na akili ya kuzaliwa bila kuwa na degree eti Asha nani aongoze mkutano wa madaktari na aongee mbele ya mawaziri wa afya na utumishi akidai hak za madaktari bila yeye kuwa daktari?.... Pinda analeta siasa ambazo hazina maana ili kuchanganya watu kama kawaida yao.....
Ulimboka ni daktari tena huu ni mgomo wa pili yeye kuongoza baada ya ule wa 2005 wakiwa na Kigwangala lakini yeye si mfanyakazi wa serikali yupo kwenye mradi flani....
 
nyie madaktari ni wauaji wakubwa.mnaweka maslahi ya matumbo yenu mbele badala ya uhai wa binadamu....shame on uuuuuuuuu

kama hospitali hakuna dawa,hakuna vipimo,vitanda hakuna, mgonjwa akija na kidonda anarudi na tb.. Unataka tuwatibu kwa mik...undu yetu? Hivi kweli inafikia hatu national referal teaching hospital kila kipimo mgonjwa aende private? Kila dawa akanunue? Hata malaria tunarefer nje? Hakuna hata maji ya theatre! Pesa nyingi zinatumika kwenye upumbavu wa wachache waliojimilikisha hili shamba la bibi. Ilifikia hatua it was unavoidable! Mabadiliko lazima yatokee tu. Ni kwa gharama ya wachache na watakaonufaika ni wengi. Mungu ibariki tanganyika na uwarehemu wale mashujaa waliokufa wakati huu wa mgoma,
 
kama hospitali hakuna dawa,hakuna vipimo,vitanda hakuna, mgonjwa akija na kidonda anarudi na tb.. Unataka tuwatibu kwa mik...undu yetu? Hivi kweli inafikia hatu national referal teaching hospital kila kipimo mgonjwa aende private? Kila dawa akanunue? Hata malaria tunarefer nje? Hakuna hata maji ya theatre! Pesa nyingi zinatumika kwenye upumbavu wa wachache waliojimilikisha hili shamba la bibi. Ilifikia hatua it was unavoidable! Mabadiliko lazima yatokee tu. Ni kwa gharama ya wachache na watakaonufaika ni wengi. Mungu ibariki tanganyika na uwarehemu wale mashujaa waliokufa wakati huu wa mgoma,
pamoja.....
 
Back
Top Bottom