4kakakuona
Member
- May 13, 2014
- 40
- 4
Jamani wa jf kuna mtu yoyote ana habari za Dr. Ulimboka? Toka amerudi Africa kusini hatusikii chochote, hebu nipeni update.
Yuko kwangu unataka nini?
Yuko kwangu unataka nini?
Mambo yake mazuri sana siku hizi,kalipwa vyema sana maumivu yote yameisha!Anaonekana sana mara nyingi Bahari Beach akifanya mazoezi
Pia Mzee Ponda!
Kwani Afande Msangi nae yuko wapi siku hizi..