Huyu Dr. ilisemekana kuwa alitekwa na watu wasiojulikana na kuumizwa vibaya sana. Bahati nzuri aliokotwa na wasamalia wema akiwa katika hali mbaya sana. Baada ya hapo, Mimi sikujua kilitokea nini kwa huyu Dr. Je, nani anajua baada ya hapo kuhusu Dr. Ulimboka????.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.