Yuko wapi Dr. Stephen Ulimboka?

Yuko wapi Dr. Stephen Ulimboka?

Wana jf ningependa kujua alipo shujaa wetu ambae pamoja na usalama Wa taifa kutaka kumuua na kupambana na nguvu ya mungu na hatimae kupata kupona, yupo wapi jamani huyu mtu maana majanjawidi Wa magamba kazi yao kutesa tu.
 
Hivi nyie MABWEPANDE huwa mnaisika tu eti??.Ni bora upelekwe segerea au Butimba ufungwe hata miaka 30 kuliko kwenda MABWAPANDE ukakaa hata masaa 10.Hakuna haki za binadamu kule Mabwepande.

Daaaah umenivunja mbavu mkuuu ha ha ha ha ha
 
Bibi yangu mzaa babu mara ya mwisho kumuona ilikukuwa tabata alishindwa hata kutamka neno uji kwani bila meno huwezi kutamka vizuri dr wetu
Hivi sa kawa mtii na mwanachama wa chama cha mapinduzi

bora watu waliwapigania hawana umoja
 
Bibi yangu mzaa babu mara ya mwisho kumuona ilikukuwa tabata alishindwa hata kutamka neno uji kwani bila meno huwezi kutamka vizuri dr wetu
Hivi sa kawa mtii na mwanachama wa chama cha mapinduzi

Ukistaajabu ya migomo utaona ya ulimboka.
 
hahahahaha .. IKINGO kwikwikwikwi aise mabwepande si mchzo huko unangolewa jino na kucha bila ganzi, alafu jamaaa baada ya kipondo kapozwaaa na noti katulia mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Ndio location yangu hio. Najua siwezi fatwa. Aisee huyu jamaa akikuhadisia na uweze ku read between the lines utalia wiki!
 
Mbona kuna wajinga humu wanafurahia ufiriauni. Stupid
 
Back
Top Bottom