Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,027
- 52,500
au alikatwa ulimi hawezi kuongea?
Yuko kwangu unataka nini?
Acha dharau,Ulimboka haruhusiwi kuoa wake wawili!
kweli humu JF kuna watu wana majibu ambayo ukiandika kwenye mtihani wa taifa paper inaunguaMbona yupo kimya sana?Yupo Jf
Kibanda ndio nani.?Tanzania kuna amani!:
1. Liwalo na liwe...Ulimboka kaumia
2. Wapigwe tu....Mwangosi kafa, Kibanda kang'olewa jicho
n.k
Amani au ukandamizaji?
Nani,wapi na kwanini aisee?Ndio location yangu hio. Najua siwezi fatwa. Aisee huyu jamaa akikuhadisia na uweze ku read between the lines utalia wiki!
Unamaanisha nini.?Kawa kama chizi..... Wamemmalizia mbali
Link please kama ipo ...Nimejikumbusha kusoma jinsi alivyosimulia Ulimboka wakati ametekwa, aisee nimeogopa sana.
Hawa binadamu waache kama walivyo.
Daaah mkuu unanitia simanzi, huwa nikimkumbuka naichukia sana nchi hiiJamani wa jf kuna mtu yoyote ana habari za Dr. Ulimboka? Toka amerudi Africa kusini hatusikii chochote, hebu nipeni update.
Lumumba bhana!!Yuko kwangu unataka nini?
Tena mke wa lumumba ndo hataki hata kumsikiaAcha dharau,Ulimboka haruhusiwi kuoa wake wawili!