Yu wapi Mama Janeth Magufuli?

Yu wapi Mama Janeth Magufuli?

Sukuma gang wamefadhaishwa sana na kifo cha mungu wao sasa wamebaki wanaweweseka tu.
Sasa wamejipa kazi ya kuanzisha nyuzi zisizo na kichwa wala miguu kila wakati.
nyuzi gani hizo tulizoanzisha majukwaan ambazo hazina miguu wala kichwa?
 
Mwacheni mama apumzike kama amepata mkubwa mwenzake wa kukata kiu yake mnamtaka kila wakati awe mbele ya kamera kuuza sura?
Respect kwa watu wazima ni jambo la msingi sana, respect inampa mtu baraka, think and comment respectfully you will be respected
 
Respect kwa watu wazima ni jambo la msingi sana, respect inampa mtu baraka, think and comment respectfully you will be respected
Mm naheshimu watoto hadi wazee.
Nami pia ni mtu mzima usidhani nalingana na wewe.
 
Nina cheti kizuri tu kuliko hata cha Magufuli aliyekwenda Teaching baada ya Form IV, wakati wababe tukienda A- Level
Historia yako ya maisha ina mapungufu mengi mno mkuu huo ndio ukweli bila kuacha shaka yoyote na wewe ubalijuwa hilo.
 
Sukuma gang wamefadhaishwa sana na kifo cha mungu wao sasa wamebaki wanaweweseka tu.
Sasa wamejipa kazi ya kuanzisha nyuzi zisizo na kichwa wala miguu kila wakati.
Hivi Humphrey maduhu polepole yuko wapi siku hizi?
 
Back
Top Bottom