Mangi Mlay
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 5,743
- 7,092
Yuko Edah
Ukimtoa jesca watoto wengine wote wa marehemu mzilanKENDE niliwajua kwenye msiba wakeHiyo familia imelelewa katika makadilio tofauti sana mkuu. Ndiyo maana hata katika kipindi chooote cha uongozi wa Marehemu tangia akiwa waziri hatukuwa tukisikia tambo za watoto wake
NGOMA IKO HUKO MSOGA BABA. MZEE MAMA WATOTO WOTE NI VIONGOZI WA TAIFA
Anamalizia shule yake pale misungwiSalaam!!
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu sikumbuki ni lini Mama janeth first lady wa 5 alionekana hadharani kupitia runinga
Zimefanyika sherehe mbali mbali ambazo kwa nafasi yake alitakiwa kuwepo sherehe kama za uhuru mapinduzi na sherehe ya leo ya CCM
Mwenye kujua Mama huyu mpole mkalimu alipo atuambie..
RIP JPM.
Sent using Jamii Forums mobile app
kabisaJpm kweli alibahatika kupata mke...
Mbona huulizi first gentleman yuko wapi wakati tunaona Hangaya anapuyanga peke yake.Salaam!!
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu sikumbuki ni lini Mama janeth first lady wa 5 alionekana hadharani kupitia runinga
Zimefanyika sherehe mbali mbali ambazo kwa nafasi yake alitakiwa kuwepo sherehe kama za uhuru mapinduzi na sherehe ya leo ya CCM
Mwenye kujua Mama huyu mpole mkalimu alipo atuambie..
RIP JPM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muache apumzike na atengeneze historia yake mpya. Hakuna kitu kibaya kama kuitwa mjane wa Mwendazake Magufuli.Salaam!!
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu sikumbuki ni lini Mama janeth first lady wa 5 alionekana hadharani kupitia runinga
Zimefanyika sherehe mbali mbali ambazo kwa nafasi yake alitakiwa kuwepo sherehe kama za uhuru mapinduzi na sherehe ya leo ya CCM
Mwenye kujua Mama huyu mpole mkalimu alipo atuambie..
RIP JPM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwez kuwa na bifu na rais wa kipekee mzalendo kuwa kutokea dunianiMbona huulizi first gentleman yuko wapi wakati tunaona Hangaya anapuyanga peke yake.
Huulizi Siti
Anna mkapa
Salma
Tumia akili zako vizuri najua una bifu na JPM.
Mkubwa mwenzake ni wewe.
Unachuki sana wewe, Mungu anakuona, hauko salamaMuache apumzike na atengeneze historia yake mpya. Hakuna kitu kibaya kama kuitwa mjane wa Mwendazake Magufuli.
Anajuwa namna mumewe alivyowakwaza watu, kwa kuua, kudhulumu fedha, kuwafukuza kazi, kuiba kura za uchaguzi nk.
Kinachomtuma mitandaoni ni ninikawachukiwa watanzania hawana wema mnampiga madongo marehemu mumewe jpm unafikiri anafurahia
Naskia kuna mstaafu anamnyemelea
Mungu ananiona na ananipa thawabu nyingi. Yeye mwenyewe ameagiza kwenye biblia kuwa tumkatae shetani. Magufuli alikuwa ni shetani kwenye mwili wa binadamuUnachuki sana wewe, Mungu anakuona, hauko salama
Ungesoma kwa bidii ukapata cheti chako original sidhan kama ungekuwa na masononeko kias hicho ee shetan ambaye bado upo haiMungu ananiona na ananipa thawabu nyingi. Yeye mwenyewe ameagiza kwenye biblia kuwa tumkatae shetani. Magufuli alikuwa ni shetani kwenye mwili wa binadamu
Nina cheti kizuri tu kuliko hata cha Magufuli aliyekwenda Teaching baada ya Form IV, wakati wababe tukienda A- LevelUngesoma kwa bidii ukapata cheti chako original sidhan kama ungekuwa na masononeko kias hicho ee shetan ambaye bado upo hai
Sent using Jamii Forums mobile app
Yesu alikufa akafufuka.Sukuma gang wamefadhaishwa sana na kifo cha mungu wao sasa wamebaki wanaweweseka tu.
Sasa wamejipa kazi ya kuanzisha nyuzi zisizo na kichwa wala miguu kila wakati.