Yu wapi Mama Janeth Magufuli?

Yu wapi Mama Janeth Magufuli?

Haya ni maswali mtu, unatakiwa uulize baada ya kwenda kwake mara kadhaa na kumkosa na anaokaa nao pia wakawa hawajui yuko wapi?
Sasa unamtafuta kwenye luninga kwa utaratibu upi?!
 
Salaam!!

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu
Sikumbuki ni lini Mama janeth first lady wa 5 alionekana hadharani kupitia runinga

Zimefanyika sherehe mbali mbali ambazo kwa nafasi yake alitakiwa kuwepo sherehe kama za uhuru mapinduzi na sherehe ya leo ya CCM
Mwenye kujua Mama huyu mpole mkalimu alipo atuambie..

RIP JPM.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha UCHAWA,mama Janeth anauongozi gani kwenye Nchi hii?
Mama Maria huwa anaalikwa kwenye dhifa mbalimbali sababu alikuwa kiongozi wa muasisi wa Taifa,
 
Dah nchi imepoa sana, tulizoea makashikashi huku na kule, full burudani..
 
CCM mmekwisha mpaka Mnataka muanzishe cheo Cha MKE WA MAREHEMU
 
Salaam!!

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu
Sikumbuki ni lini Mama janeth first lady wa 5 alionekana hadharani kupitia runinga

Zimefanyika sherehe mbali mbali ambazo kwa nafasi yake alitakiwa kuwepo sherehe kama za uhuru mapinduzi na sherehe ya leo ya CCM
Mwenye kujua Mama huyu mpole mkalimu alipo atuambie..

RIP JPM.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo familia imelelewa katika makadilio tofauti sana mkuu. Ndiyo maana hata katika kipindi chooote cha uongozi wa Marehemu tangia akiwa waziri hatukuwa tukisikia tambo za watoto wake

NGOMA IKO HUKO MSOGA BABA. MZEE MAMA WATOTO WOTE NI VIONGOZI WA TAIFA
 
Salaam!!

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu
Sikumbuki ni lini Mama janeth first lady wa 5 alionekana hadharani kupitia runinga

Zimefanyika sherehe mbali mbali ambazo kwa nafasi yake alitakiwa kuwepo sherehe kama za uhuru mapinduzi na sherehe ya leo ya CCM
Mwenye kujua Mama huyu mpole mkalimu alipo atuambie..

RIP JPM.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mama kawa mrembo sana mwacheni aendelee kujificha tuuu na mimi naunga mkono maana nina udhaifu kuliko Pascal Mayalla
 
Unamtaka wa nini mke wa marehemu?
Salaam!!

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu
Sikumbuki ni lini Mama janeth first lady wa 5 alionekana hadharani kupitia runinga

Zimefanyika sherehe mbali mbali ambazo kwa nafasi yake alitakiwa kuwepo sherehe kama za uhuru mapinduzi na sherehe ya leo ya CCM
Mwenye kujua Mama huyu mpole mkalimu alipo atuambie..

RIP JPM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo familia imelelewa katika makadilio tofauti sana mkuu. Ndiyo maana hata katika kipindi chooote cha uongozi wa Marehemu tangia akiwa waziri hatukuwa tukisikia tambo za watoto wake

NGOMA IKO HUKO MSOGA BABA. MZEE MAMA WATOTO WOTE NI VIONGOZI WA TAIFA
Dah yawezekana ndo sababu ila tunammis sana Mama janeth

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam!!

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu sikumbuki ni lini Mama janeth first lady wa 5 alionekana hadharani kupitia runinga

Zimefanyika sherehe mbali mbali ambazo kwa nafasi yake alitakiwa kuwepo sherehe kama za uhuru mapinduzi na sherehe ya leo ya CCM
Mwenye kujua Mama huyu mpole mkalimu alipo atuambie..

RIP JPM.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nilivyoona heading nikajua unataka kumstiri mjane!
 
Back
Top Bottom