Yu wapi Lowassa?

Yu wapi Lowassa?

Msharika

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2009
Posts
947
Reaction score
71
Katika siku zote za uwaziri mkuu wake, Mh. waziri mkuu mstaafu EL alijisifia kuwa rafiki kipenzi wa kikwete. Mbona afanyi kampeni au anachangia tu kichinichini au yale mapenzi yameishia wapi? Alienda mbali na kusema "hakuna anayeweza kutugombanisha na jk kwani hatukukutana barabarani ila ni shemu nyeti na urafiki wetu ni madhubuti". Mbona anaelekea kumtosa mwenzake? Au yupo busy na kazi za kilaigwanani zaidi?
 
Katika siku zote za uwaziri mkuu wake, Mh. waziri mkuu mstaafu EL alijisifia kuwa rafiki kipenzi wa kikwete. Mbona afanyi kampeni au anachangia tu kichinichini au yale mapenzi yameishia wapi? Alienda mbali na kusema "hakuna anayeweza kutugombanisha na jk kwani hatukukutana barabarani ila ni shemu nyeti na urafiki wetu ni madhubuti". Mbona anaelekea kumtosa mwenzake? Au yupo busy na kazi za kilaigwanani zaidi?

Edward L, si waziri mkuu mstaafu!!!.
 
EL ni waziri mkuu aliyefukuzwa sio msaafu. Alifukuza kwaajili ya kuhujumu uchumi. Kwa hiyo alikuwa mwizi na mzembe kazini. Alipaswa kuchukuliwa hatua zaidi ya kufukuzwa. Alipaswa kushtakiwa. Lakini nani atathubutu hilo wakati ni wote ni walewale? Matumaini yetu watanzania ni serikali ya kuleta mageuzi. CCM wanamtandao mkubwa wa mafisadi marafiki, hivyo kumchukulia hatua mwizi wa mali za umma ni vigumu. Tutegemee nini kama mshika mfuko ni RA, kiongozi wa kuratibu maswala ya uchaguzi ni AK aliyetuhumiwa juzi tu kwa kumiliki Meli iliyokamatwa na nyara za serikali. Hao wote ni wezi. Hao ndiyo viongozi wa CCM. Baada ya kukosa hoja ya kumkwamisha Dr. Slaa wameng'ang'ania tu kwenye maswala yake binafsi-ndoa yake. Hawana hoja nyingine ya kumkamata.
 
Katika siku zote za uwaziri mkuu wake, Mh. waziri mkuu mstaafu EL alijisifia kuwa rafiki kipenzi wa kikwete. Mbona afanyi kampeni au anachangia tu kichinichini au yale mapenzi yameishia wapi? Alienda mbali na kusema "hakuna anayeweza kutugombanisha na jk kwani hatukukutana barabarani ila ni shemu nyeti na urafiki wetu ni madhubuti". Mbona anaelekea kumtosa mwenzake? Au yupo busy na kazi za kilaigwanani zaidi?


kwani wewe hujui kuwa na yeye anajipigia kampeni huko Monduli....
 
EL ni waziri mkuu aliyefukuzwa sio msaafu. Alifukuza kwaajili ya kuhujumu uchumi. Kwa hiyo alikuwa mwizi na mzembe kazini. Alipaswa kuchukuliwa hatua zaidi ya kufukuzwa. Alipaswa kushtakiwa. Lakini nani atathubutu hilo wakati ni wote ni walewale? Matumaini yetu watanzania ni serikali ya kuleta mageuzi. CCM wanamtandao mkubwa wa mafisadi marafiki, hivyo kumchukulia hatua mwizi wa mali za umma ni vigumu. Tutegemee nini kama mshika mfuko ni RA, kiongozi wa kuratibu maswala ya uchaguzi ni AK aliyetuhumiwa juzi tu kwa kumiliki Meli iliyokamatwa na nyara za serikali. Hao wote ni wezi. Hao ndiyo viongozi wa CCM. Baada ya kukosa hoja ya kumkwamisha Dr. Slaa wameng'ang'ania tu kwenye maswala yake binafsi-ndoa yake. Hawana hoja nyingine ya kumkamata.


na nyie bwana vichwa vyenu kama Makamba...Lowasa alijiuzuru uwaziri mkuu.wapi mmetamkwa kuwa alifukuzwa?
 
Katika siku zote za uwaziri mkuu wake, Mh. waziri mkuu mstaafu EL alijisifia kuwa rafiki kipenzi wa kikwete. Mbona afanyi kampeni au anachangia tu kichinichini au yale mapenzi yameishia wapi? Alienda mbali na kusema "hakuna anayeweza kutugombanisha na jk kwani hatukukutana barabarani ila ni shemu nyeti na urafiki wetu ni madhubuti". Mbona anaelekea kumtosa mwenzake? Au yupo busy na kazi za kilaigwanani zaidi?

Edward L, si waziri mkuu mstaafu!!!.

Asante kwa kuliona hilo. Jina sahihi ni Waziri Mkuu aliyejiuzulu (kabla ya kufukuzwa?) kwa kashfa ya matumizi mabaya ya madaraka na ufisadi. Samahani naamini sijatukana:confused2:
 
  1. kwani wewe hujui kuwa na yeye anajipigia kampeni huko Monduli....
Yup Kigogo!

Ni kweli kabisa yupo "bise" na kampeni!
Kuna mtu wake wa karibu leo kanitonya kuwa ametoa thshs 90M kumsaidia Dr Batilda(Arusha Mjini), ambaye ni rafiki yake wa karibu!
 
Lowasa yuko active kwenye kampeni ila si kwa kuwa vuvuzela majukwaani... na bado mchango wake ni mkubwa kuliko makamba kwenye uchaguzi huu, walio arusha na manyara wanajua
 
Katika siku zote za uwaziri mkuu wake, Mh. waziri mkuu mstaafu EL alijisifia kuwa rafiki kipenzi wa kikwete. Mbona afanyi kampeni au anachangia tu kichinichini au yale mapenzi yameishia wapi? Alienda mbali na kusema "hakuna anayeweza kutugombanisha na jk kwani hatukukutana barabarani ila ni shemu nyeti na urafiki wetu ni madhubuti". Mbona anaelekea kumtosa mwenzake? Au yupo busy na kazi za kilaigwanani zaidi?

Anajiandaa kuteuliwa mwenyekiti wa CCM baada ya uchaguzi
 
F I S A D I !!!!!!
Nashangaa sana, watu bado wanamchekea, anaingia tena bungeni!! kweli kuna watanzania walio viziwi na vipofu licha ya kuwa wana masikio na macho.:confused2:
 
Katika siku zote za uwaziri mkuu wake, Mh. waziri mkuu mstaafu EL alijisifia kuwa rafiki kipenzi wa kikwete. Mbona afanyi kampeni au anachangia tu kichinichini au yale mapenzi yameishia wapi? Alienda mbali na kusema "hakuna anayeweza kutugombanisha na jk kwani hatukukutana barabarani ila ni shemu nyeti na urafiki wetu ni madhubuti". Mbona anaelekea kumtosa mwenzake? Au yupo busy na kazi za kilaigwanani zaidi?


Chunga wewe Unaelewa Mchango wa Lowassa kwa CCM ?kama sio Mzee lowassa CCM ingekuwa makaburi.
 
Yup Kigogo!

Ni kweli kabisa yupo "bise" na kampeni!
Kuna mtu wake wa karibu leo kanitonya kuwa ametoa thshs 90M kumsaidia Dr Batilda(Arusha Mjini), ambaye ni rafiki yake wa karibu!

Mwanamke akiwezeshwa, anaweza!!!!
 
LOWASA kipenzi cha MWANAKIJIJI hatumuoni si kuhizi
ninajiuliza sana sipati jibu kuwa, kwanini baada ya LOWASA kujiuzulu akaambatana na MCHAMBUZI ambaye alikuwa imara hapa jukwaani kutetea kasungura ka LOWASA?

Jamani jamani
 
Ni dhahiri kabisa mwanamke akiezeshwa anaweza tu ( there is no question about that):smile-big:

tofauti huja hapo tu...koz mwanaume hata asipowezeshwa huwa bado anaweza....koz atafight mpk aweza wakati mwanamke ni mpk awezeshwe ndo aweze.........................................Hakuna Usawa kamwe...............
 
Yupo ananunua magazti ya udaku ya kumchafua dr slaa na kuyasambaza bure
 
Yuko chimbo anajiuliza namna LAANA ya JK (original) = Julius Kambarage inavyomtafuna!!! Haitamuacha mpaka ahera atakwenda nayo.

Ameshiriki mchezo mchafu wa kujenga daraja na kutenganisha walionacho na wasionacho ndani ya miaka kumi ya umarehemu wa JK (original). Ameshiriki kuingiza mtandao wa wafanya biashara ndani ya serikali ya Tanzania, kitu ambacho JK(original) alikemea kwa kusema bila kutafuna maneno "Ikulu si mahali pa kufanyia ulanguzi".

Hesabu zake za kuwa raisi baada ya Kikwete ni sawa na kuchukua ziro ugawe kwa namba yoyote. Lazima ufulie. Huwezi pata jibu hata ufe!!

Acha wamasai wamuabudu kwani akili zao ni sawa na zake tu!!
 
Anatafakari namana ya kuwadhibiti kina; Ole Sendeka, Dr. Mwakyembe na Mama Anna Kilango. Kwahili nadhani yuko upande wa Chadema ili kuhakikisha wabunge hawa hawarudi tena ila anasahau ya kuwa Ikulu ataingia Dr wa Ukweli (WS) na yeye EL, lazima afikishwe Kortini tu.
 
Mkuu Domhome,
EL anashughulika na media kumzuia Dr Slaa asiingie madarakani,anajua fika atakuwa si salama.Madudu aliyofanya yamemfanya akose usingizi samamba na Chenge,Rostam Aziz na Nazir Karamagi.Sasa hivi anampigia magoti Mengi na Diallo kuzuia Dr Slaa asiaccess media za hawa makada wa CCM
 
Back
Top Bottom