Long after he is gone, tutaendelea kumjadili Lowassa. Thats a true measure of a great leader. Wengi wangeshakuwa wame-vanish baada ya vurugu kubwa ya powerful negative media iliyopigwa for three years starigh', lakini he is standing tall and proud today, wakati hiyo allegation imepukutika na kusambaratika na zinabakia great memories of what this great man has done to his beloved country, Tanzania, and that is unquestionable. I love the man, enough respect!