Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,377
- 271,806
usaliti umemponza ! dunia haina huruma - bahati bukuku .
Yupo anavaa yebo yebo au ndala mahakamani, huwa simwelewi kwa hilo
Nimekusoma vizuri mkuu.OVER!
Mkuu hapo umenena,huku mi mbavu sina,you 've really made my day.Mkuu sio alosoma kasoma. huyu jamaa alikumbwa na kimbunga kinachoitwa ''Hurricane Mkapa'' akasimamishwa kuwa lecturer UD, akaporwa leseni ya uwakili, mwanae akapata ajali akiendesha gari la dingi yake la ubunge. Baada ya kimbunga hicho akaamua kurudi CCM na vyote akarudishiwa kasoro utu wake tu ndo CCM waliuchukua.
inasemekana ana fungus .
khaa!!! Acha uboya wewe wenzako wanachangamkia fursa wewe unabaki na umbeya. Changamka acha u f al aJamani hivi huyu mwasheria aliyewahi kuwa Mbunge siku za nyuma nadhani kupitia NCCR kama sikosei, yuko wapi siku hizi?mbona hasikiki ...
MWENYE HABARI ZAIDI JUU YAKE AZIMWAGE HAPAJAMVINI...
Mkuu ni vyema utambue Dr. Masumbuko Lamwai alikuwa ni mhadhiri pale UDSM-school of Law; Swali la kujiuliza kwa nini Dr.Lamwai haendelei na kibarua chake pale UDSM?
khaa!!! Acha uboya wewe wenzako wanachangamkia fursa wewe unabaki na umbeya. Changamka acha u f al a