Yu wapi Dkt. Masumbuko Lamwai?

Yu wapi Dkt. Masumbuko Lamwai?

Lamwai ni nasikia ni mwanasheria wa CCM. Pia kwa sasa anafundisha somo la sheria katika vyuo mbambali. Mwaka 2010 nilimuona Tumaini University kituo cha Kurasini.

Hana jipya zaidi ya kuishiwa kila alichokuwa nacho alipokuwa NCCR. Hilo ndo kosa la watu wengi katika siasa kurudi CCM.

Kwani alirudi kwa kupenda? Nguvu ya mafisadi waliamua kumnyamazisha moja kwa moja, kafyata mkia anatumikia !
 
Lamwai anafundisha Tumaini University ndo dean faculty of law, pia anafundisha law school of tz na anafanya shughuli zake za uwakili maisha yanaenda. Alosoma kasoma tu
 
pima mwenyewe na uone hapo kuwa huyu ni Dr. (PhD) na kapotea hivi then uniambie miaka mitatu ijayo hawa wafuatao itakuwaje:
  • Shonza
  • Mwampamba
  • Tambwe Hiza
  • Kabouru
  • Shitambala
...
...
\ongeza wa kwenu pia

Mama Kasela Bantu
 
Nakumbuka alipokimbilia uhamishoni zenj. Duh intolerant ccm.
 
he is the dean of faculty tumaini university ya dar. unajua nn wakuu, huwa akiwa anafundisha anakumbuka yaliyomkuta na kusema,huwezi shindana na dola!!
 
Jamani hivi huyu mwasheria aliyewahi kuwa Mbunge siku za nyuma nadhani kupitia NCCR kama sikosei, yuko wapi siku hizi?mbona hasikiki ...
MWENYE HABARI ZAIDI JUU YAKE AZIMWAGE HAPAJAMVINI...
Kwani ulikuwa huna habarri kuwa kazi ya wanamagamba ni kama mtu anayetafuna muwa,wakati anautafuna anauona mtamu,lakini baadaye atauona muwa ule ushakuwa makapi,kwa hiyo hana budi kuyatupa. Ndiyo yaliyomkuta Masumbuko Lamwai, Tambwe Hiza na Kaburuu!! Hivi sasa masalia, akina Mwampamba na Shonza, wanafyonzwa kama miwa na CCM wenyewe wanajiona wamefika! Lakini siku magamba hayo yatakapobaini utamu wa muwa wanaoutafuna, ushakwisha utamu, na yamebaki makapi,wanamagamba hao watawatupilia mbali bila aibu yoyote, kama walivyowafanyia akina Lamwai!! I hope Message has been delivered!!
 
Lamwai anafundisha Tumaini University ndo dean faculty of law, pia anafundisha law school of tz na anafanya shughuli zake za uwakili maisha yanaenda. Alosoma kasoma tu

Mkuu ni vyema utambue Dr. Masumbuko Lamwai alikuwa ni mhadhiri pale UDSM-school of Law; Swali la kujiuliza kwa nini Dr.Lamwai haendelei na kibarua chake pale UDSM?
 
ndo anasimamia kesi kama wakili wa serikakatka kesi ya kafumu. huyu jamaa nimemfahamu zaman sana kipind hata cjafika mbeya mjini wala cjui hata TV zipoje alikuwa maarufu mno lakin nw kazima ghafla.
 
Alisitishiwa mkataba wake kama baregu, lwaitama na wengine wote wataokua upinzani ndo sera ya magamba.
 
Lamwai anafundisha Tumaini University ndo dean faculty of law, pia anafundisha law school of tz na anafanya shughuli zake za uwakili maisha yanaenda. Alosoma kasoma tu

Mkuu sio alosoma kasoma. huyu jamaa alikumbwa na kimbunga kinachoitwa ''Hurricane Mkapa'' akasimamishwa kuwa lecturer UD, akaporwa leseni ya uwakili, mwanae akapata ajali akiendesha gari la dingi yake la ubunge. Baada ya kimbunga hicho akaamua kurudi CCM na vyote akarudishiwa kasoro utu wake tu ndo CCM waliuchukua.
 
pima mwenyewe na uone hapo kuwa huyu ni Dr. (PhD) na kapotea hivi then uniambie miaka mitatu ijayo hawa wafuatao itakuwaje:
  • Shonza
  • Mwampamba
  • Tambwe Hiza
  • Kabouru
  • Shitambala
...
...
\ongeza wa kwenu pia
marehemu wa kisiasa na fikira kwesheni
 
Mkuu sio alosoma kasoma. huyu jamaa alikumbwa na kimbunga kinachoitwa ''Hurricane Mkapa'' akasimamishwa kuwa lecturer UD, akaporwa leseni ya uwakili, mwanae akapata ajali akiendesha gari la dingi yake la ubunge. Baada ya kimbunga hicho akaamua kurudi CCM na vyote akarudishiwa kasoro utu wake tu ndo CCM waliuchukua.
Du nimeipenda hiyoooooooooo Baada ya kimbunga hicho akaamua kurudi CCM na vyote akarudishiwa kasoro utu wake tu ndo CCM waliuchukua
 
pima mwenyewe na uone hapo kuwa huyu ni Dr. (PhD) na kapotea hivi then uniambie miaka mitatu ijayo hawa wafuatao itakuwaje:
  • Shonza
  • Mwampamba
  • Tambwe Hiza
  • Kabouru
  • Shitambala
...
...
\ongeza wa kwenu pia

ukiona mtu katoka ccm akarudi tena mchunguze kiakili anaweza hata kuwa anaonga mavi
 
Mkuu sio alosoma kasoma. huyu jamaa alikumbwa na kimbunga kinachoitwa ''Hurricane Mkapa'' akasimamishwa kuwa lecturer UD, akaporwa leseni ya uwakili, mwanae akapata ajali akiendesha gari la dingi yake la ubunge. Baada ya kimbunga hicho akaamua kurudi CCM na vyote akarudishiwa kasoro utu wake tu ndo CCM waliuchukua.

hiki kimbunga hatari yaani na hisi hata akili yake haifanyikazi kisawa sawa kweli ilibidi awe mpole maana hakuwa na jinsi
 
Masumbuko kwisha habari yake.
Tayari alikwishatumika kama mundoko (soma hili neno kwa style ya kiarabu)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom