and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,105
Msomi, mwanasheria Nguli wa Siasa za Mageuzi nchini aliyevuma mfumo wa vyama vingi ulipoingia nchini. Leo hii hasikiki kaishia wapi? Bado ni Wakili?
Yupo anatumwatumwa tu na Ghulam Dewji kwenye kesi zake.Msomi, mwanasheria Nguli wa Siasa za Mageuzi nchini aliyevuma mfumo wa vyama vingi ulipoingia nchini. Leo hii hasikiki kaishia wapi? Bado ni Wakili?
Alikubali kutumika na Chama chakavu, kama kawaida yao wameisha mdampoMsomi, mwanasheria Nguli wa Siasa za Mageuzi nchini aliyevuma mfumo wa vyama vingi ulipoingia nchini. Leo hii hasikiki kaishia wapi? Bado ni Wakili?
They used him they dumped him. Safi sana.Alikubali kutumika na Chama chakavu, kama kawaida yao wameisha mdampo
Mwasumbuko hakuwa na wito wa kutumikia wananchi. Alitumwa na tumbo kutafuta maslahi. Kama angekuwa mpiganaji asingesalimu amri mapema hivyo.huyu bwana alivyoingia upinzani alikipata cha moto. hatakaa asahau. alirudi ccm akapewa ubunge wa kuteuliwa
Mwasumbuko hakuwa na wito wa kutumikia wananchi. Alitumwa na tumbo kutafuta maslahi. Kama angekuwa mpiganaji asingesalimu amri mapema hivyo.
Kama ilivyo kwa wasaliti, hakuaminika alikojipeleka, CCM.