m_kishuri
JF-Expert Member
- Jan 27, 2010
- 1,484
- 372
Sio Mkamashamu ila ni Mkama Sharp, alikua ni Corporal yaani mwenye V mbili begani. Huyu alishafariki dunia na kuzikwa kwao mkoa wa Mara.
Duh, MMUNGU ailaze roho yake mahali pema peponi. Yaani huyu jamaa alikuwa anawasaidia sana madenti pale Kariakoo. Ukifika pale na Mkama Sharp yupo, basi unauhakika wa kufika nyumbani mapema.