Huyo ni aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Israel. anaitwa Ariel Sharon.Ni nani huyo?
Mbona anafanana na mzee wa Watergate!
mkuu waisrael watu wa ajabu sana unaweza kukuta pamoja ya huyo mzee kuwa hoi hospitali lakini kuna ma-advise kibao anatoa. Si unajua huyo nae ni mkongwe na amepitia mikasa mingi tangu enzi za akiaa Moshe Dayan..."ukiona nyani amezeeka ujue amekwepa mishale mingi."living dead
nimeipenda hii mpwamkuu waisrael watu wa ajabu sana unaweza kukuta pamoja ya huyo mzee kuwa hoi hospitali lakini kuna ma-advise kibao anatoa. Si unajua huyo nae ni mkongwe na amepitia mikasa mingi tangu enzi za akiaa Moshe Dayan..."ukiona nyani amezeeka ujue amekwepa mishale mingi."
mkuu waisrael watu wa ajabu sana unaweza kukuta pamoja ya huyo mzee kuwa hoi hospitali lakini kuna ma-advise kibao anatoa. Si unajua huyo nae ni mkongwe na amepitia mikasa mingi tangu enzi za akiaa Moshe Dayan..."ukiona nyani amezeeka ujue amekwepa mishale mingi."
Semeni musemayo, badoo napenda. Shalom, shalom
Hahaha hahahaaaa.mkuu upo?Vp hijja mwakaa huu tutaenda shekhe?inshaallah mie najiandaa kwa mwakani mkuu.........maiti inatoa ushauri !? Wagala bana !
Hahaha hahahaaaa.mkuu upo?Vp hijja mwakaa huu tutaenda shekhe?inshaallah mie najiandaa kwa mwakani mkuu.
........maiti inatoa ushauri !? Wagala bana !
Hili Jembe linaitwa Ariel Shalon..ni jibaba la miraba 4, bonge la mtu kwelikweli yaani limeendesha mambo mengi sna kiubabe tangu enzi hizo za vita ya Israel na waarabu..
Wapalestina wanaijua shughuli yake....
Semeni musemayo, badoo napenda. Shalom, shalom
Mkuu vipi maendeleo ya mgomo? Nasikia tumegomea bidhaa zinazotengenezwa Marekani...