Yu hai huyu mtu?

Yu hai huyu mtu?

...........ati nanyie mkienda Bethlehemu mnasema hija ! ile ni IDOL WORSHIP TOUR, !!
Kile ni Kitendo alichofanya Nabii Ibrahim, wakati anataka kutekeleza maelekezo ya Mola wake SWT ya kumchinja mwanae Ismael, Shetani akamtokea akimshawishi aache kutekeleza hilo tendo. Kila mara Shetani alipokuwa akija, Nabii Ibrahim aliokota jiwe na kumrushia ili amfukuze. Nasi tunaige tendo hilo kama kumbukumbu !
Kitendo kama hichi kilimtokea Bwana Yesu pale alipopandishwa juu mlimani baada ya kutoka "kufunga"
Shetani alimuambia Bwana Yesu kuwa: ukijirusha katika Mlima huu, basi Mungu atakutumia malaika wakubebe juu kwa juu !
Kisha akamwambia ageuze jiwe kuwa mkate, Bwana Yesu alimwambia 'mtu hataishi kwa mkate tuu !
Baada ya majaribu yote, Bwana Yesu alimfukuza Shetani kwa kumwambia: Nenda zako Shetani na usimjaribu Bwana Mungu wako.

Punguza kuimba mapambio usome andiko !:wink::-*


..................kwi kwi kwi kwi!! eti mnamfukuza Shetani kwa mawe nyie watu kweli hamko sawa, shetani anaogopa mawe kumbe? subiri kesho nishushe lori zima la mawe hapa maskani ili akitaka kuja akiona mawe lazima atoke nduki. Kwahiyo kurusha mawe mnamuiga Ibrahim alivyofanya kumlaani shetani sasa nyie mtaiga vipi au mnamaanisha kule Makka napo kuna shetani?......kutokana na upeo wenu mdogo mnashindwa kujua kuwa huyo mnaesema mnampiga mawe kumbe ndo mnaemuabudu bila kujua. Hongereni sana watoto wa shet..i. Hiyo aya inayosema Ibrahim alimrushia mawe shetani umeipata kwenye Bible au daftari la waarabu? Kama shetani anaogopa mawe mnatakiwa mumpige na idadi gani ya mawe huko Makka ili afe kabisa au kila mwaka anarudi tena kuwasubiria waumini wake?


Halafu mnaponiacha hoi mnataka kwenda kumtoa nduki huyo shetani wa Makka wakati majini yale yaliyomoo katika nyumba zenuu za ibada mnatembea nayo na kuyafuga. Aha ha ha ha ha ha ha dini nyingine bhana!!
 
...........ALLAH SWT, kupitia hiyo aya, anasema kama na nyinyi mna mamlaka kama yake (ya kuumba) basi irudisheni roho yake !.aaaa wapi, yuko katika coma mwaka wa sita !

...............Hiyo taarabu huyo A.SWEET alikuwa anawaimbia akina nani?
 
anaimbia lile sanamu lililo wambwa !

.........kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! hivi A.SWEET alishatoka kule kwenye moto wa Jehanamu?. Kama ikiwa A.SWEET aliingia motoni Jehanamu na hadi leo hii haijulikani kama alitoka au bado, sasa nyie wengine hivi mtapona kweli na hiyo Jehanamu?. Kijana fungua macho usiendelee kudanganywa na akina Ponda na kama kweli wewe unampenda huyu A.SWEET usiende kuhiji Makka maana ukifika kule lazima umtie mijiwe huyu mtu wenu ambaye mnamuita shetani.
 
@MajorBuyoya:
Angalia lile Sanamu mlilolining'iniza pale Kanisani kisha linganisha haya maneno kutoka katika chuo cha Nabii Daudi:

Sanamu zao ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu. Zina vinywa lakini hazisemi: zina macho lakini hazioni: zina masikio lakini hazisikii: zina pua lakini hazikii harufu: mikono lakini hazishiki: miguu lakini haziendi: wala hazitoi sauti kwa koo zao: wazifanyao watafanana nazo, kila mmoja anayezitumainia.


Ndoo maana huyo jamaa anafanana nao !:biggrin:
ZABURI 115: 4-5.
 
...........ati nanyie mkienda bethlehemu mnasema hija ! Ile ni idol worship tour, !!
Kile ni kitendo alichofanya nabii ibrahim, wakati anataka kutekeleza maelekezo ya mola wake swt ya kumchinja mwanae ismael, shetani akamtokea akimshawishi aache kutekeleza hilo tendo. Kila mara shetani alipokuwa akija, nabii ibrahim aliokota jiwe na kumrushia ili amfukuze. Nasi tunaige tendo hilo kama kumbukumbu !
Kitendo kama hichi kilimtokea bwana yesu pale alipopandishwa juu mlimani baada ya kutoka "kufunga"
shetani alimuambia bwana yesu kuwa: Ukijirusha katika mlima huu, basi mungu atakutumia malaika wakubebe juu kwa juu !
Kisha akamwambia ageuze jiwe kuwa mkate, bwana yesu alimwambia 'mtu hataishi kwa mkate tuu !
Baada ya majaribu yote, bwana yesu alimfukuza shetani kwa kumwambia: Nenda zako shetani na usimjaribu bwana mungu wako.

Punguza kuimba mapambio usome andiko !:wink::-*


kwahiyo makka mnamfuga huyo...............................halafu yupo makka pekee.......imani zingine bhana
 
kwahiyo makka mnamfuga huyo...............................halafu yupo makka pekee.......imani zingine bhana

hapo pa Yesu kutokewa na shetani ili amjaribu hukupaona ? .......nenda zako shetani.......! Wagala bana, mmekalia kuimba tuu, nibebe nibebe !
 
1-1873.jpg
 
Hii mihadhara ya kubishiana nani mungu na nani Mungu malizianeni huku jf. Mtaani hatutaki speakers, tulale na kufanya homework na watoto wetu.
 
Da kweli waisrael wanamheshimu sana huyu kiumbe wao aliyewafanyia mengi!! Yule aliyehoji wingi wa makaburu na mikataba ya mashaka na zawadi ya nyumba Africa Kusini alikufa bila kutegemewa!!!
 

Mkuu mbona unaturusha roho? Khaa S-n-Sa vipi mkuu? Unaiotea nini? Ngoja mods watutokee sasa na sisi tunasafisha mioyo hapa mkubwa. Tunajikumbusha ya waisrael, wapalestina, wayahudi na waislam!!! Power of nations and religion! miaka ya 1948!!!
 
kamuulize abraham yeye anajua shetani gani alikua an mfukuza kwa mawe

Wanamkubali Ibrahim A.S,wanakiri alioteshwa kumchinja mwanae (kulingana na mafundisho ya Agano la kale), wanakubali Mwenyezi Mungu aliteremsha Kondoo badili yake.

Ibada ya Hija kwa Waislaam ni kulitukuza hilo tendo ambalo wao wanalibeza !
ni watu waliyoghafilika, hawajijui wala hawajitambui !
:amen:
 
you love a brain dead person! Loh! Huyo hata mu6be vipi hafufuki.!

mwili ndio uliyodhoofu pale tena umedhoofu vibaya ila sio ubongo...I know a brain dead idiot, we have him ryt here. ni mzima na anavaa suti ila ubongo wake, unanitia mashaka!
 
Back
Top Bottom