Yu hai huyu mtu?

bado yupo hai,au unafikiri ni yule wa kwenu mliyeenda kumpiga sindano ya sumu st thomas.
Yaani watu mnapotezea suala nyeti kama hilo hapo ktk nyekundu!! mzee wetu kapanda ndege mzima anapunga mkono lakini wenye nia za kuitafuna nchi wakajua atawazibia ngoja wakammalize ili wawe huru kuitafuna nchi. Ona sasa wameanza kutoa ushahidi mahakamani, wanalalamika hawathaminiwi kama wastaafu na bado malipo ni hapa hapa duniani.Na wale kama Ighobu waliotimiza hayo wakapewa na uwaziri watakiona kichapo subirini.
 
Baada ya swala ya ijumaa ndio mtaingia pale us embassy?

................ijumaa ipi Mgala ? leo jumapili au kidhungu ni Sunday, siku ambayo Wapagani walikuwa wakiabudu 'Mungu Jua' ! vp nawe umeenda ibadani ?
Ijumaa ni siku ya jamaa wote kujumuika kufanya ibada ya kweli kumshukuru Mungu !
 
hata al malhuni Yaser Araft aijua shughuli yake.

............ndo hivyo sasa, ahera hayupo na duniani hayupo ! vp unauwezo wa kumnyanyua ? Mwenyezi Mungu anamdhalilisha kwanza kabla ya hukumu !
 
.....basi mbona roho ifikapo kooni, na nyinyi wakati ule mnatazama. Nasi Tunakaribiana nae zaidi (huyo anae karibia kukata roho) kuliko nyinyi, na wala nyinyi hamuoni. Nyinyi ham'mo katika Mamlaka yangu. Kwa nini hamuirudishi (hiyo roho) ikiwa mnasema kweli ! Qur'an: 56: 83-87.
Irudisheni hiyo roho kama nyinyi mna 'Mamlaka' ! Jamaa 'Bulldozer' duniani hatakiwi na akhera haendi, chamoto anakiona mbabe wenu kabla hajafa !
Mkuu, nasikia huyu jamaa anapata huduma nzuri sana na stahiki za matibabu kuliko hata wengine sisi ambao si wababe wala hatujawahi kuwa Ma-bulldozer, nimeshangaa sana kusika hili na kwanini awe na matibabu ya aina hiyo.
 
Mkuu, nasikia huyu jamaa anapata huduma nzuri sana na stahiki za matibabu kuliko hata wengine sisi ambao si wababe wala hatujawahi kuwa Ma-bulldozer, nimeshangaa sana kusika hili na kwanini awe na matibabu ya aina hiyo.

...........ALLAH SWT, kupitia hiyo aya, anasema kama na nyinyi mna mamlaka kama yake (ya kuumba) basi irudisheni roho yake !.aaaa wapi, yuko katika coma mwaka wa sita !
 
niombe ndugu yangu hija naitamani sana, huniliza kila ninapoiona !

.............ukienda hija usisahau na mijiwe ile ya kumpiga yule shetani wenu mnaemfuga kule Makka ambaye kila mwaka mnampiga halafu anarudi tena, Safari hii kila mtu aende na lori la mawe maana mawe 7 tu hayatoshi.
 
.............ukienda hija usisahau na mijiwe ile ya kumpiga yule shetani wenu mnaemfuga kule Makka ambaye kila mwaka mnampiga halafu anarudi tena, Safari hii kila mtu aende na lori la mawe maana mawe 7 tu hayatoshi.
...........ati nanyie mkienda Bethlehemu mnasema hija ! ile ni IDOL WORSHIP TOUR, !!
Kile ni Kitendo alichofanya Nabii Ibrahim, wakati anataka kutekeleza maelekezo ya Mola wake SWT ya kumchinja mwanae Ismael, Shetani akamtokea akimshawishi aache kutekeleza hilo tendo. Kila mara Shetani alipokuwa akija, Nabii Ibrahim aliokota jiwe na kumrushia ili amfukuze. Nasi tunaige tendo hilo kama kumbukumbu !
Kitendo kama hichi kilimtokea Bwana Yesu pale alipopandishwa juu mlimani baada ya kutoka "kufunga"
Shetani alimuambia Bwana Yesu kuwa: ukijirusha katika Mlima huu, basi Mungu atakutumia malaika wakubebe juu kwa juu !
Kisha akamwambia ageuze jiwe kuwa mkate, Bwana Yesu alimwambia 'mtu hataishi kwa mkate tuu !
Baada ya majaribu yote, Bwana Yesu alimfukuza Shetani kwa kumwambia: Nenda zako Shetani na usimjaribu Bwana Mungu wako.

Punguza kuimba mapambio usome andiko !:wink::-*

 
................ijumaa ipi Mgala ? leo jumapili au kidhungu ni Sunday, siku ambayo Wapagani walikuwa wakiabudu 'Mungu Jua' ! vp nawe umeenda ibadani ?
Ijumaa ni siku ya jamaa wote kujumuika kufanya ibada ya kweli kumshukuru Mungu !

thubutu kama kuna m2 atasogeza pua yake pale, ile zone u.s federal gvt property, sio jangwani pale
 
tumeanza na Dume kondom, badili yake tunaoa wawili au watatu au wanne ! Unaonaje Mgalatia ?
Irudisheni basi roho yake kama mna 'mamlaka' !


Tatizo uko driven na emotion kuliko logic kwani umeambiwa kuwa amekufa? Au hujui maana ya kufa?
 
Tatizo uko driven na emotion kuliko logic kwani umeambiwa kuwa amekufa? Au hujui maana ya kufa?

...........nani amesema kafa ? Qur'an: 56:83-87 inasema roho iko kooni na ndo inataka kutoka, m'mebakia kutoa macho tu na hakuna mnachoweza kufanya. Mwenyezi Mungu anasema kama mna 'mamlaka' mrudisheni katika hali yake ya kawaida !
acha uvivu wa kusoma, kila kitu kipo hapo juu !
 
...........ati nanyie mkienda Bethlehemu mnasema hija ! ile ni IDOL WORSHIP TOUR, !!
Kile ni Kitendo alichofanya Nabii Ibrahim, wakati anataka kutekeleza maelekezo ya Mola wake SWT ya kumchinja mwanae Ismael, Shetani akamtokea akimshawishi aache kutekeleza hilo tendo. Kila mara Shetani alipokuwa akija, Nabii Ibrahim aliokota jiwe na kumrushia ili amfukuze. Nasi tunaige tendo hilo kama kumbukumbu !
Kitendo kama hichi kilimtokea Bwana Yesu pale alipopandishwa juu mlimani baada ya kutoka "kufunga"
Shetani alimuambia Bwana Yesu kuwa: ukijirusha katika Mlima huu, basi Mungu atakutumia malaika wakubebe juu kwa juu !
Kisha akamwambia ageuze jiwe kuwa mkate, Bwana Yesu alimwambia 'mtu hataishi kwa mkate tuu !
Baada ya majaribu yote, Bwana Yesu alimfukuza Shetani kwa kumwambia: Nenda zako Shetani na usimjaribu Bwana Mungu wako.

Punguza kuimba mapambio usome andiko !:wink::-*


Shetani gani anafukuzwa kwa mawe?
 
Back
Top Bottom