Columbus
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,002
- 648
Yaani watu mnapotezea suala nyeti kama hilo hapo ktk nyekundu!! mzee wetu kapanda ndege mzima anapunga mkono lakini wenye nia za kuitafuna nchi wakajua atawazibia ngoja wakammalize ili wawe huru kuitafuna nchi. Ona sasa wameanza kutoa ushahidi mahakamani, wanalalamika hawathaminiwi kama wastaafu na bado malipo ni hapa hapa duniani.Na wale kama Ighobu waliotimiza hayo wakapewa na uwaziri watakiona kichapo subirini.bado yupo hai,au unafikiri ni yule wa kwenu mliyeenda kumpiga sindano ya sumu st thomas.