Nimebahatika kuto kukutana na hii kitu.. Ila tu kwa kufikirika, mkono wa sweater would be a turnoff for me. Unajua haya mambo yapo ki art zaidi; uwakilishwaji wa hilo jambo. Mfano Hoshea unasema you get turned off by ladies wanao tusi... Naweza opinionate kuwa inawezekana tu hujampata a lady who is ambae ni mtaalam wa kukutukana na ukajikuta wafurahia hayo matusi (watoto wasisome hii post tafadhali), yule ambae ukamuona toka uliko toka kuwa ako decent na wala huwahi msikia katusi toka umfahamu... Then from no where mpo faragha na she sofly tukanaz you in your ear, softly, kama hataki, kama anakupuliza, kama anataka kukung'ata but in a way kama vile she is not even sure nini anasema... Out of curiosity's sake would you still be turned off?
He he he, uko vizuri kwa dirty talks?
Nimebahatika kuto kukutana na hii kitu.. Ila tu kwa kufikirika, mkono wa sweater would be a turnoff for me. Unajua haya mambo yapo ki art zaidi; uwakilishwaji wa hilo jambo. Mfano Hoshea unasema you get turned off by ladies wanao tusi... Naweza opinionate kuwa inawezekana tu hujampata a lady who is ambae ni mtaalam wa kukutukana na ukajikuta wafurahia hayo matusi (watoto wasisome hii post tafadhali), yule ambae ukamuona toka uliko toka kuwa ako decent na wala huwahi msikia katusi toka umfahamu... Then from no where mpo faragha na she sofly tukanaz you in your ear, softly, kama hataki, kama anakupuliza, kama anataka kukung'ata but in a way kama vile she is not even sure nini anasema... Out of curiosity's sake would you still be turned off?
Daymm, umeni-turn on:becky:
Sorry, Dada..off topic.
Hiyo kwenye "red" ... lafudhi hiyo nimeisikia Mombasa?:confused2:
kusoma tu imesisimua ,tunaita "DIRTY TALKS HIZI" kiswahili chake sikijui ila inaturn on kwa baadhi yetu.
natumaini u mzima dada yangu
Miss you more dearest, You good? Mkono wa sweater ni ambae hajabahatika kupitika mkasi... (ama panga kwa wamasai.. Lol)
Alafu hiki kikombe cha Hoshea... Sijui kwa nini kinanikumbusha @LD
mwanaume asiependa kuoga, yaani ukimkaribia tu unasikia kiharufu, nguo za ndani hafui, yaani boxer nyeupe imegeuka kijivu dah balaa tupu
unataka kunijaribu uone?
tukifanyia hapa inaweza kupelekwa lile jukwaa la kule chini kabisa.......
pia anaependa mambo ya tigo,0713 sijui
to hell huko
Ha ha ha ha, haya bana
Kwa hiyo tukajaribie uwanja wa taifa?
PM yangu haifanyi kazi
Aayayayayayaaa! Mkuu pole sana, hiyo kwangu ni dili! Ukikutana naye mwenye hizo makitu nisongeshee tafadhali!!mwenye nyele nyingi miguuni mwanamk!