Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,232
Uongo una-spice up mambo lol
Mimi ni pale anapokua MUONGO, inanifanya nisimwamini na kupoteza upendo wangu wote kwake na pia namuona she is not a beauty like first time which i love her.
Mapenzi ni kupendana na kuwekana wazi kwa yale yote yanayotutokea na sio kufichana kwa jambo lolote lile.
Pindi tutawekana wazi itatufanya tuonane wenye kuvutia kila wakati hii itatufanya kuliimarisha penzi letu.