Hna uhakika Joh Makini ni mchaga au Mmasai wa Arusha mjini?Sikatai kuwa jo ni mkongwe ila media hasa zile zinazokaliwa na watangazaji wachaga wamekuwa wakilazimisha kutuaminisha kuw joh ni mkali kuliko wengine kitu ambacho sio kweli yaan joh huwa anahit hata akiimba ujinga tofauti na marapa wakali kama fid q au roma wanatoa nyimbo kali ila huwa zinabaniwa ila joh anapewa promo sana kuliko uwezo wake jamani
joh ni rapa mkali sana hakuna asie jua hili ila kuna media na mapresenter wakaskazn wanatka kutuaminisha kuwa joh ndie rapa mkali kuliko wote bongo kitu ambacho s kweli, nb joh kwa kimataifa endelea hvhvo kuimba commercial utatoboa kma marapa wa sauz
Msanii Young Killer anadai Joh Makini anabebwa na kudai ni suala ambalo lipo wazi kwa kuwa watu wengi wanalizungumzia
Amemtolea mfano Chid Benz kulisema hilo lakini akasema tena sio yeye anasema bali me quote yanayosemwa na watu.
wote ni mtu mmoja haoYaani kuna wasanii nawachanganya kweli..dogo daresalama ...dogo janja ....young D...young killer... Ni watu tofauti au ?