Penison JF-Expert Member Nov 4, 2017 6,049 11,628 Apr 28, 2021 #16,941 Yanga bana kama kimbunga Jobo tu mikwara mingi kimefika nchi kavu nguvu imeisha.
Penison JF-Expert Member Nov 4, 2017 6,049 11,628 Apr 28, 2021 #16,942 Wakati Simba inasajili wachezaji nyie mlikuwa mko bize kuwapokea wavuvi wa kambare pale Airport.
Penison JF-Expert Member Nov 4, 2017 6,049 11,628 Apr 28, 2021 #16,944 Bila kutoa huu MWIKO nyuma Hamtoboi
Penison JF-Expert Member Nov 4, 2017 6,049 11,628 Apr 28, 2021 #16,945 Shida na mateso yalianzia hapa
Shadeeya JF-Expert Member Mar 12, 2014 48,325 115,325 Apr 28, 2021 #16,947 Mtani Penison naona umeamua kuja kutukerra. Haya bana niseme tu hiyo Slogan yetu ipo na itaendelea kuwepo na nikukumbushe tu ile miaka tumechukua ligi kuu mfululizo ilikuwepo pia. #DaimaMbeleNyumaMwiko. Teh
Mtani Penison naona umeamua kuja kutukerra. Haya bana niseme tu hiyo Slogan yetu ipo na itaendelea kuwepo na nikukumbushe tu ile miaka tumechukua ligi kuu mfululizo ilikuwepo pia. #DaimaMbeleNyumaMwiko. Teh
Shadeeya JF-Expert Member Mar 12, 2014 48,325 115,325 Apr 28, 2021 #16,948 Kuelekea mchezo wetu wa FA Ijumaa dhidi ya Prisons kikosi cha Timu ya Wananchi jana kilianza safari kuelekea Sumbawanga.
Kuelekea mchezo wetu wa FA Ijumaa dhidi ya Prisons kikosi cha Timu ya Wananchi jana kilianza safari kuelekea Sumbawanga.
Your Majesty JF-Expert Member Aug 29, 2018 3,235 5,332 Apr 29, 2021 #16,960 Shadeeya said: Mtani Penison naona umeamua kuja kutukerra. Haya bana niseme tu hiyo Slogan yetu ipo na itaendelea kuwepo na nikukumbushe tu ile miaka tumechukua ligi kuu mfululizo ilikuwepo pia. #DaimaMbeleNyumaMwiko. Teh Click to expand... #DaimaPamojaKuliibaKombe. Teh
Shadeeya said: Mtani Penison naona umeamua kuja kutukerra. Haya bana niseme tu hiyo Slogan yetu ipo na itaendelea kuwepo na nikukumbushe tu ile miaka tumechukua ligi kuu mfululizo ilikuwepo pia. #DaimaMbeleNyumaMwiko. Teh Click to expand... #DaimaPamojaKuliibaKombe. Teh