Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 5,462
- 12,661
Shida kocha anaongea kiarabu.. Watu wawaza adhana tuu hapo😂poleni kipindi wengine wanaandaa timu nyie mnacheza makida uwanja wa ndege
Shida kocha anaongea kiarabu.. Watu wawaza adhana tuu hapo😂poleni kipindi wengine wanaandaa timu nyie mnacheza makida uwanja wa ndege
mkuu ebhu kuwa na huruma watu wana machungu ya kufungwaShida kocha anaongea kiarabu.. Watu wawaza adhana tuu hapo😂
mkuu waonee hurumaMtafungwa mpaka mumlipe yule mtu aliyekuwa anawaletea mayai viza
Huruma kwa mautopolo hamna.Hata yakishuka daraja sawa tu.mkuu waonee huruma
atakosekana mshindani wa kweli ...muhimu wabaki nafasi ya 2 au3Huruma kwa mautopolo hamna.Hata yakishuka daraja sawa tu.
Umewaua uko dk 90 now tuwaonee huruma.. 😂mkuu ebhu kuwa na huruma watu wana machungu ya kufungwa
Simba na Azam ndio zinatakiwa ziwe kama Tp mazembe na Vita. Utopolo iwe kama Motema pembe.atakosekana mshindani wa kweli ...muhimu wabaki nafasi ya 2 au3
taratibu mkuuSimba na Azam ndio zinatakiwa ziwe kama Tp mazembe na Vita. Utopolo iwe kama Motema pembe.
Pole mkuu.Timu imepambana sana leo, ni bahati haikuwa kwetu kutokana na kukosa clinical striker type ya Dube, We deserved a point today!
Mashabiki mnajituma sana.Wana Yanga wenzangu tuendelee kuisapoti timu hadi mwisho Wa msimu ili tuweze kupata moja ya nafasi 2 za juu huku tukiamini timu itakuwa imara zaidi msimu ujao. Ila uongozi wetu haufai kuendelea kusalia hasa Mwenyekiti, Makamu wake!
Tamu au chungu?View attachment 1763384
Siku yetu leo kulamba Ice Cream.
Mechi nne tumefunga goli 9 , wastan wa goli zaid ya mbili kwa mchezoHebu huko na wewe.
Naona mnashinda goli zile zile ambazo huwa mnatumbeza nazo. Bado sare nazo. Lol
Kabisa kabisaUtopolo anaweza kufungwa lakini timu ya Young African Sc haifumgwi na Azam Sc.