Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,321
- 115,321
Mtani Karibu Sumbawanga uone nini tunafanya kwa ile timu yako ya utotoni. Teh.#DaimaPamojaKuliibaKombe. Teh
Mtani Karibu Sumbawanga uone nini tunafanya kwa ile timu yako ya utotoni. Teh.#DaimaPamojaKuliibaKombe. Teh
Pole mtani na ukatili wa yule kijana wa Chamazi Prince Dube.Mtani Karibu Sumbawanga uone nini tunafanya kwa ile timu yako ya utotoni. Teh.
Aisee!! Tushapoa Mtani.Pole mtani na ukatili wa yule kijana wa Chamazi Prince Dube.
Mtu mbad sana huyu
Hivi matokeo yalikuwaje?
Aisee mnataka kuoanisha nini nyinyi?
Kimenuka huko kambini Kigamboni, makonde yamerushwahivi washona sare si upande wa mke ndio wanasare nyingi
ya kicheni part
ya sendoff
ya harusi
upande wa mume sidhani kama kuna sare nyingi hivi
simba ni mume aenda oa hakuna misare
Hahahaaaa. Punguza pureshaAisee mnataka kuoanisha nini nyinyi?
😅😅 Nimeshindwa Mtani. TehLakini Daktari si amekushauri kutofuatilia mpira wikiendi hii, sababu afya yako bado haijatengemaa? Sasa mbona unakuwa mkaidi?