kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,299
- 6,321
Alisema makocha wote waliomfundisha walimwambia akitokea mchezaji akapiga faulo ya vile achukue mpira aupeleke kati kisha ampigie makofi. Japo aliogopa kumpigia makofi Morrison mana angepigwa makofiWale vijana wana nia mbaya na manula,hata lile la morrison hadi manula mwenyewe alisema alitaka kumpigia makofi morrison