Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,401
Hawezi jibu anaruka ruka tuSwali zuri sana mkuu, wakikijubu uni tag
Hawezi jibu anaruka ruka tuSwali zuri sana mkuu, wakikijubu uni tag
Mabadiliko yana tabia mbili. Yanaweza yakatengeneza au ndiyo yakaharibu kabisaaa. Lwa tabia ya Chura FC, sijui!!🤔Ingekuwa zamani sawa ila sasa hapana na hasa ukiangalia tunaelekea kwenye mabadiliko hilo musahau.
Daaa nampenda sana Nchimbi na nadhani ndiye mchezaji anayeweza kutoa 100% ya work rate kwenye timu yetu. Anajituma sana na hakati tamaa,namtabiria mema huko mbeleMshambuliaji wa Yanga Ditram Nchimbi amesema atatumia mechi zilizobaki kujiimarisha kwenye kikosi cha kocha Luc Eymael.
Nchimbi maarufu kama 'Duma', amesema amefuata ipasavyo program ya mazoezi aliyoachiwa na kocha hivyo yuko tayari kuuwasha moto pale ligi itakaporejea
Akiwa mmoja wa nyota wa kutegemewa kwenye kikosi cha Yanga, Nchimbi amesema pamoja na wachezaji wengine, watahakikisha wanamaliza msimu kwa kishindo
"Binafsi nimekuwa nikifanya mazoezi kujiweka sawa, nimefuata program ya Mwalimu hivyo nimefurahi ligi kurejea na niko tayari kwa asilimia 100," alisema
Nchimbi ni mmoja wa wachezaji ambao wamejihakikishia namba kwenye kikosi cha Eymael akiwa na uhakika wa kuendelea kukipiga na mabingwa hao wa kihistoria licha ya ujio wa nyota kibao wanaotarajiwa kusajiliwa dirisha la usajili litakapofunguliwa.
@Yangafulldozz.
Kiuwanja cha MuhindiIla Mtani mna maneno nyie chaaaa.
Hivyo kisa mna kile K i j i Uwanja basi Wananchi hatunywi maji. Lol.
BM double 3!
Mwingine huyu hapa kakaKwani Yanga mna mchezaji mmoja tu!?
Simba baba lao weweHaiezi tokea kwa sasa afanye kazi muda wake ukiisha anasepa tunaleta mungine.
Yanga babalaaao.
Na nyie Muache kutumia muamala,uone kama kutakuwa na malalamikoSimba baba lao wewe
Shadeeya ligi inarudi hakikisheni mnajiandaa vyema, safari hii hatutaki kusikia malalamiko wala makando kando kutoka kwenu.
Simba nguvu moja
Simba bingwa
wasisahau kulipa na madeni ya Pondamali na Chirwa huku mengine yanakujaSimba baba lao wewe
Shadeeya ligi inarudi hakikisheni mnajiandaa vyema, safari hii hatutaki kusikia malalamiko wala makando kando kutoka kwenu.
Simba nguvu moja
Simba bingwa
Huyu balama alitaka kuua mtuMwingine huyu hapa kaka
View attachment 1460590
Wacha weee.Simba baba lao wewe
Shadeeya ligi inarudi hakikisheni mnajiandaa vyema, safari hii hatutaki kusikia malalamiko wala makando kando kutoka kwenu.
Simba nguvu moja
Simba bingwa
Sina hakika kama Mtani Mnazareth kaeza kuplay hiyo video mpaka mwisho. Teh teh.Mwingine huyu hapa kaka
View attachment 1460590
Kuna lile goli la pili la Banka hadi mtangazaji akamwambia "aishi manula roho yako muhimu aishi" 😂😂😂Huyu balama alitaka kuua mtu
Anatufanya sisi watotoWacha weee.
Hapo mlishajiokotea points za kununua halafu eti leo ndio unasema hutaki makando kando na malalamiko. Lol
Yah!! Na kama mechi zile mbili za watani wa jadi alikuwa mwiba kwani beki za simba zilipata sana tabu.Daaa nampenda sana Nchimbi na nadhani ndiye mchezaji anayeweza kutoa 100% ya work rate kwenye timu yetu. Anajituma sana na hakati tamaa,namtabiria mema huko mbele
Halafu eti wanajisifia wametuacha mbali lol.Anatufanya sisi watoto
Ndio mnavojidanganya!? Kwanini mnaependa kuwalalamikia sana waamuzi? Hizo ni dalili za uwoga ujue ShadeeyaYah!! Na kama mechi zile mbili za watani wa jadi alikuwa mwiba kwani beki za simba zilipata sana tabu.
Na kama sio janja janja ile mechi ya raundi ya kwanza yule mama alimnyima penalti ya wazi kabisa.
" What a diving header! Aishi unataka kwenda wapi, Aishi roho yako ni muhimu hapo"! Mpenja alimsihi sana mkia Wa golini aiseeKuna lile goli la pili la Banka hadi mtangazaji akamwambia "aishi manula roho yako muhimu aishi"
Alijua kabisa magoli ya Timu ya Wananchi yanaeza kuua mtu.
Tena wakizubaa zubaa anakigeuza cha rugby. 😂😂😂😂Kiuwanja cha Muhindi