You are not my type

You are not my type

kuweni makini wanaume wengine ni machizi wa akili mjibu hovyo alafu aje kukuchinja nadhani umesikia kwenye vyombo vya habari swala kama hilo , mnashida sana wew huna habari unatembea kumbe kuna kichaa fresh anakupigia mehesabu alafu unakuja kumchambua kwa nyodo ataondoka na titi moja hilo.
 
kuweni makini wanaume wengine ni machizi wa akili mjibu hovyo alafu aje kukuchinja nadhani umesikia kwenye vyombo vya habari swala kama hilo , mnashida sana wew huna habari unatembea kumbe kuna kichaa fresh anakupigia mehesabu alafu unakuja kumchambua kwa nyodo ataondoka na titi moja hilo.
nacheka kama mazuri. Kwani mapenzi lazima jamani loh
 
I don't think kama i'm good enough for you. Huwa najiweka kwenye angle ambayo mtu anayekataliwa ajione hana kasoro na mimi ndio simstahili. Hata mimi im not good for everyone so why should i bellitle someone coz of their own feelings towards me. Kwanza its a blessing kupendwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom