Kwani mliingia chumbani ndyo akakuambia you are not her type broYaani pamoja na lihogo nilonalo halafu dem akinambia "You are not my type" najua anapenda kiba100



Rejection is not an easy thing because human beings like to be accepted.Jambo haliwezi kuwa baya mpaka pale akili yako itakapopifanya liwe baya. Its all in our minds.
Ila pia binadamu tunapenda kusikia vile vinavyotufurahisha, ndio maana neno hilo likitoka unalichukulia tofauti.
Binadamu tumeumbwa tofauti sanaHahahaha
Mwanamke akisema wewe sio type yake anamaanisha hujui kutongoza ...
Wakati mwanaume anamaanisha kweli wewe sio type yake..
Toka lini mwanamke akajua anataka nini.Atakaza hapo weeee na dharau juu.Akijua badae upo bank utasikia mbona upo kimya sikuhizi umechukia nilivyokwambia vile hahahaa,akaja kujua una gari utasikia hivi wewe unashughulika na nini????wanawake wachache sana wakikwambia hiyo kauli unaweza take it serious...
Binafsi nikiambiwa hivo najipanga nimekosea wapi kwenye kutongoza,je nimeshindwa wapi kuji marketing mpaka huyu mwanamke kanishinda??
Hapana sina mapungufu, ila nitajua anapenda viba100, hivyo nitamtafuta wa type yangu mwenye kupenda hogo na nyanya chunguUmeona sasa, wewe una hogo ye anapenda kibamia....ukiambiwa hivyo utajiona una mapungufu?















Sijawahi binamu
Madem wataalam wakiona vidole vyako vya mkononi tu wanajua kidole chako cha sirini kilivyo.Kwani mliingia chumbani ndyo akakuambia you are not her type bro![]()
Lakini kuna formula ina wa guide watu kwa jinsia zao...Binadamu tumeumbwa tofauti sana
Hiyo jeuri nilikuwa nayo enzi zile za UB 40, siku hizi wa type yangu naona wanazidi kuwa wengi. Lakini nimeshikilia kwa Asprin
Siku zinakuja ambapo utatamani muendane wakati huo na yeye atakuwa amepata wakuendana nae.Samahani,mimi na wewe HATUENDANI