"You are not my type"


Thats what im talking about......tatzo ki muonekano unakua uko fresh tu but at the time bado huja ji establish sabab ya mambo flan flan (uko broke but have a promising future).....Siku unakuja pata breakthrough, its ON beib.

Hee ghafla unaona watu wanaanza kujileta. Hapana aisee mm hicho ndio kitu nakichukia mno.
 
Binafsi niliwahi kuambiwa kipindi hicho na kweli ilikuwa hivyo ila ilinisaidia.
 
He hee sijawahi kuambiwa live ila umenikumbusha jamaa mmoja humu alicomment 'am not his type'...

Nani huyoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€?

Na ilikuwa kuwaje hadi akakwambia hivyo mrembo 'top notch' kama wewe?

Alikuambia wewe moja kwa moja au alikuwa kwenye mazungumzo na mtu mwingine?

Let not your heart be troubled. It was his loss, not yoursπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€?

Now you have his carte blanche to cuss him out.

Better use the opportunity now 'cause it's a rare one.

Lightning may never strike twice. Don't pass up on it.

πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
maelezo nitakayo toa hapa yatajenga picha ni revenge wakati mimi natafuta tu justice ....naweza mkoleza akifika kwenye peek ya mahusiano yaani haoni wala hasikii mimi huyoooo nasepaa zangu
Kwa hiyo unajifanya diamond Co??
 
Hii ilinitokea mimi.

Baada ya kumtongoza kwa muda mrefu akiwa ananikatalia sikilu zote, ilifikia siku baada ya kuchoka nikamwambia ''keep it on your mind kuwa nakupenda''

Alinijibu hivi "MY MIND IS FULL, I CAN'T ADD ANYTHING"

Jibu hili liliniumiza sana, na lilinivunja moyo kabisa, hadi mwenyewe alilitambua hilo.

Nilighairi kumfuatilia, but a month later alianza kuja mwenyewe.
 
I kno man. Hata mm nimeshapitia hyo experience.

Kikubwa ni move on, dnt give them ur time. Just focus on ur grind nd happiness.

Kuna mmoja alijirudi na sikutaka mazoea ever again (ni kitambo in my early 20's). I just told her she z nothin i ever want in a woman.
 
He hee haya bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…