We speak the same language bossNgoja nikumbuke......sijawahi kuambiwa 'you are not my type' labda kwasababu naangalia vizuri kabla ya kumtokea mtu.
Vile vile sijawahi kumwambia mtu 'you aint my type' ila honestly nishakutana na mtu na kimoyomoyo nikajisemea 'you aint my type dear'
Hivi vitu vipo kuna mtu unaona/mnaona kabisa hatuendani. Jinsi ya kufikisha ujumbe ndio inabidi ustaarabu uwepo.
Au ndiyo "not my type"Mkuu imetoka hiyoo,shikamoo maana yake huna mpango.
Daah mamii nani huyo?,hebu nisontee mimi nimchape,maana wewe ni lulu bhana yaani kitu na box.
Ninavo vingi sana vya kukunyima jamaniAaaaahh wewe unataka kuninyima nini
GTFOHB you are not my type...Ninavo vingi sana vya kukunyima jamani
Action and reaction are equal but opposite in magnitude and direction.Whatever goes around, comes back around. Utakuja kuumizwa wewe, hata kama uko na mtu huna feelings nae muombe Mungu akupe suluhisho, na inawezekana mmoja wenu akahamishwa, au ukapata nafasi ya kwenda kusoma, naturally mnakuwa mmesolve the issue.
Ha haa weweMamii akitajwa halafu akajishebedua kwako,uniachie mimi hiyo ngoma,nitafundisha adabu mpaka wanipige ban ya maisha humu.
Sijambo Mrembo,tatizo siachi kukuota usiku,yaani bahati mbaya ndoto huwa haifiki mwisho inakatika,daah basi naumia sana mamii.hujambo weye
Ha haa sawa tuGTFOHB you are not my type...
Kama ujuavyo Karanja ana laana.Ha haa wewe
Napenda sana ushauri wako..Heaven Sent
Mpaka imepelekea nimeanza kujenga picha kwenye ubongo wangu!
Nafuatilia sana comment zako.... U argue wisely!
Daah pole sana nakushauri nenda kwa Karumanzira au Manyau nyau utapata tiba.Napenda sana wanawake wenye mafanikiwa ila naambiwa sio type yao bt wa type yangu nao siwatak sijui nifanyeje napenda kuwa namafanikio so wanawake wenye low income siwapend hata akiwa mzur japo na mimi ni wakawaida bt napenda bosslady tatizo siwapat
Sasa mbona mimi hukunijali? au sababu nauza karanga au vipi?Hizi nyodo nyodo sio nzuri,umebahatika kumzidi mwingine basi heshima iwepo.
You said from my heart!Binafsi sijisifii jamani,nipogo humble sana.
Hakuna kitu ambacho huwa nakiepuka kama dharau.
Sipendi kumdharau mtu kutokana na muonekano wake au aina yake ya maisha.
Tena naweza kukupamba ukajiona uko juu zaidi ya uhalisia.
Nimewahi date na wenye ego,yani mtu anajisikia vibaya sana halafu ukiangalia sio lolote kuanzia muonekano na kila kitu.
Ambacho huwa nakifanya ni kujishusha,kama sioni vile.
Mwisho wa siku tukija kubreak up huwa haupiti muda wananitafuta tena kwa masikitiko na kujishusha kulikopitiliza.
Kuna Ex wangu mmoja aliwahi kuniambia "Wewe ni mwanamke wa ajabu Nifah,wanawake kama wewe wamebakia ktk filamu pekee"
Sababu kuu ni unyenyekevu,huruma,heshima na ustaarabu nilivyojaaliwa.
Siri ya yote hayo ni kutokulipa ubaya kwa ubaya,tenda wema nenda zako.
Wema huishi milele.
Period
Fisadi me nashauri msupport mtu wako but isizidi uwezo wako hata kama utaitwa majina gani sijui, coz hata ufanyaje majina utaitwa tu. Fanya ambacho moyo wako utaridhia period. Ila usiache dreams zako zikafa, au zikalala kabisa, kisa efforts zako zote umezihamishia kupursue dreams za mtu mwingine. Siku akikuacha its like your life has come to an end, huna chochote ulichojifanyia. Na wakati mwingine tenda tu wema uende zako. Kumsaidia mtu sio guarantee kuwa atakuwa na wewe mileleWell said lakini ninyi mnatatizo moja kubwa.. Na hichi ulichikiandika ingawa ni kizuri lakini kina contradiction kibao..
Unaposema wanaume tufanye kwa kiasi, hicho kiasi kama kina athari kwenu huwa mnatuita majina kibao.. Mara mbahili au mwanaume suruali na atatafuta mwingine wa kuziba hiyo gap.. Na ukisema uhudumie full ndio hivyo wengi hawana assurance that we will die together.. Mifano iko mingi tu ya mwanaume anasomesha mpaka mtu anamaliza level fulani alafu unakimbiwa bila hata huruma..
hsante mamii,yaani umemuwahi kabisa asirushe nyavu,haa haaa,eti KAMOO,wewe mkali jamani.Sijambo, kamoo
asanteee Nifah ngoja nikupe hela ukanunue pipi mamii.Binafsi sijisifii jamani,nipogo humble sana.
Hakuna kitu ambacho huwa nakiepuka kama dharau.
Sipendi kumdharau mtu kutokana na muonekano wake au aina yake ya maisha.
Tena naweza kukupamba ukajiona uko juu zaidi ya uhalisia.
Nimewahi date na wenye ego,yani mtu anajisikia vibaya sana halafu ukiangalia sio lolote kuanzia muonekano na kila kitu.
Ambacho huwa nakifanya ni kujishusha,kama sioni vile.
Mwisho wa siku tukija kubreak up huwa haupiti muda wananitafuta tena kwa masikitiko na kujishusha kulikopitiliza.
Kuna Ex wangu mmoja aliwahi kuniambia "Wewe ni mwanamke wa ajabu Nifah,wanawake kama wewe wamebakia ktk filamu pekee"
Sababu kuu ni unyenyekevu,huruma,heshima na ustaarabu nilivyojaaliwa.
Siri ya yote hayo ni kutokulipa ubaya kwa ubaya,tenda wema nenda zako.
Wema huishi milele.
Period
Most of ma life, nothing has really excited me ....Heaven sent!!, ila kutokana na argument zako hakika wewe umeweza!