Mnajifanya tu.. Ila mwanaume akifeli hamuhusiki hahahaha..Teh!, sio inferior bwana, tunakuwa proud of the success that we help you guys have.
Aaah wacha weee!!! Kumbe eeh ndo inavyokuaga eehType hii ipo kwenye group hili!! Wote wanaojifanya wazuri huku kichwani hakun kitu Mara nyingi huishia kuumizwa sehemu za siri wajanja
We nae uliyaanza mapema sana eeh!! Ndo maana umekomaa kama kwato ya punda hahahaahaaa..pole sana mkuu,..mwenyewe form2 nlishawahi ambiwa maneno n.a. mdada m1 inauma aisee!..
..sipati picha ulivotumia dudu yako kwenye avatar hapoWanaongeaga tu hawamaanishi,
Enzi hizo kuna kamoja kana pozi za kivideo queen kalijisemeshaga hivyo sijui ilikuaje tu baadae tukajikuta room tumependeza ndani ya uniform za bustani ya Eden
Kalichezea dudu washa mpaka kakanena kwa lugha majina yake yote matatu ya cheti cha kipaimara.
Mnajifanya tu.. Ila mwanaume akifeli hamuhusiki hahahaha..
..Hapana mkuu nilikuwa nampa Hi tu,..ndonikajibiwa ivo...Au ndo wwulinjib nn?..We nae uliyaanza mapema sana eeh!! Ndo maana umekomaa kama kwato ya punda hahahaahaaa
Sawa.. Cousin yako hajambo?? Lol...hahaaa, si wote buana...lol!
..mwenyewe kunawakishua nataka nimtupie nawe,..Kuna demu ndo nimeanza kutongoza, ngoja nione kama ataniletea hii kadhia maana swagger zake sizielewi elewi kwa kweli
..kitabia tunafanana mkuu!...Hahahaha hapana aisee sister sina unyama nina roho moja ya huruma sana ,sema sasa mtu akivuka mipaka yake ,Repercussions zake zinakuwa mbaya sana ,kwa sababu nikishaamua jambo nimeamua huwa siangalii nyuma
Nichunguze kwa makini kama ndo mimi nimezee tu sio lazima wahenga wajue hahahahaa..Hapana mkuu nilikuwa nampa Hi tu,..ndonikajibiwa ivo...Au ndo wwulinjib nn?..
..Hahahaaa,..inaudhi!..Noma sana. Yani mtu aliyekuwa anakupa ushirikiano kwa hiyari bila shuruti kwenye 6X6 kwa nyodo na dharau anakudondoshea hili bomu. Ukiwa na kifua kidogo ni zaidi ya lililodondoshwa Hiroshima
Hongera sana, hapo kwenye point umeongea point kubwa sana. Ulipe ubaya ili iweje. Nataka nimkomoe yule dada/kaka! Mie wenye kauli hizi hunishangaza sana. Mkishindana kila mtu achukue 50 zake hakuna sababu ya kuwekeana visasi vya namna yoyote ile.
So badmaelezo nitakayo toa hapa yatajenga picha ni revenge wakati mimi natafuta tu justice ....naweza mkoleza akifika kwenye peek ya mahusiano yaani haoni wala hasikii mimi huyoooo nasepaa zangu
I is there any cause of action?Nishakutana nazo hizo sana ,sema huwa lazima nitafute justice baada ya kumpata ,
Justice na sio revenge
Cause of action in what sense ? Do i need to sue anyone to obtain money or property ?I is there any cause of action?
Hapana dada ,inauma pia kuambiwa you are not my typeSo bad