chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,011
"Litis Contestatio"Cause of action in what sense ? Do i need to sue anyone to obtain money or property ?
"Litis Contestatio"Cause of action in what sense ? Do i need to sue anyone to obtain money or property ?
Ht km si unaachana nae tu!Hapana dada ,inauma pia kuambiwa you are not my type
Binafsi sijisifii jamani,nipogo humble sana.
Hakuna kitu ambacho huwa nakiepuka kama dharau.
Sipendi kumdharau mtu kutokana na muonekano wake au aina yake ya maisha.
Tena naweza kukupamba ukajiona uko juu zaidi ya uhalisia.
Nimewahi date na wenye ego,yani mtu anajisikia vibaya sana halafu ukiangalia sio lolote kuanzia muonekano na kila kitu.
Ambacho huwa nakifanya ni kujishusha,kama sioni vile.
Mwisho wa siku tukija kubreak up huwa haupiti muda wananitafuta tena kwa masikitiko na kujishusha kulikopitiliza.
Kuna Ex wangu mmoja aliwahi kuniambia "Wewe ni mwanamke wa ajabu Nifah,wanawake kama wewe wamebakia ktk filamu pekee"
Sababu kuu ni unyenyekevu,huruma,heshima na ustaarabu nilivyojaaliwa.
Siri ya yote hayo ni kutokulipa ubaya kwa ubaya,tenda wema nenda zako.
Wema huishi milele.
Period
In my case who is up to be called as a witness ?"Litis Contestatio"
Kwani mimi nimesemaje dada ? Si namwacha tu nasepa zanguHt km si unaachana nae tu!
Unaweza ukatukanwa na kuambiwa maneno mazito ukawa na moyo wa kuvumilia kusamehe na kutake easy....Haipendezi kabisa kumtakia mtu maneno kama hayo,hujafa hujaumbika binadamu humkuta chochote muda wowote .Kama mtu umemchoka au humtaki kuna maneno ya kutumia na ukaeleweka vyema.
Kwani mimi nimesemaje dada ? Si namwacha tu nasepa zangu

we unamwacha baada ya kuhakikisha umepata ulichokuwa unakitaka! Umesema akishakolea ndo unamwacha!Hahaha ndio sasa kwani kumkoleza na yeye si anafaidi au mimi mwenyewe ,sasa dada ulitaka nimwache kabla sijamkoleza aishie kuniita mwanaume surualiwe unamwacha baada ya kuhakikisha umepata ulichokuwa unakitaka! Umesema akishakolea ndo unamwacha!
MmhHahaha ndio sasa kwani kumkoleza na yeye si anafaidi au mimi mwenyewe ,sasa dada ulitaka nimwache kabla sijamkoleza aishie kuniita mwanaume suruali
Here I am the one..! Proceed with, take an action.In my case who is up to be called as a witness ?
Mkuu ni wachache sana ambao huamua kumove on bila drama.
Sasa hivi burudani ya drama za breakups zimehamia WhatsApp.
Mara huyu kaweka DP hii na status ya mafumbo mwenzie nae kaweka nini sijui
Mimi nikiachana na mtu wala huwezi jua,ndio kwaaaanza naweka DP's na status za kawaida kabisaaaa.
Huku Ex yeye anahangaika
Kiufupi kufanyiana visa baada ya kuachana ni kutokukomaa kiakili.
Mapenzi sio maisha,na maisha lazima yaendelee.
Eid Mubarak brother
View attachment 398464
Dah sijawahi ambiwa ila i can feel it.kama msumari wa motoDoes that phrase sound familiar ??
Ulisha wahi ambiwa hvyo na mpenzi wako au mtu wako wa karibu when dating ??
Ili kua kuaje ??
Ulijiskiaje ??
Ulichukua hatua gani ??
All is well once again, hope ur having a calm weekend.
Well nimependa tu niwaambie vijana wenzangu wanao pitia hali hii kwa sasa....kwamba sio wao tu tupo wengi tuliyokwisha yapitia hayo on different life circumstances...na leo wengine tumeshuhudia tukiandaliwa meza moja na hao hao watesi wetu.
Kikubwa jiamini, simama piga kazi kwa nguvu zote, focus more on ur life and happiness, the right one at the right time will come in ur life and stay na hao hao waliokuchukilia poa one day watasujudu.
Nimejisikia tu ku share after remembering some past memories in my life.
Regards
Senior Boss.
Then your testimony would be of no valueHere I am the one..! Proceed with, take an action.
Oooops.okThen your testimony would be of no value