"You are not my type"

"You are not my type"

Binafsi sijisifii jamani,nipogo humble sana.
Hakuna kitu ambacho huwa nakiepuka kama dharau.
Sipendi kumdharau mtu kutokana na muonekano wake au aina yake ya maisha.
Tena naweza kukupamba ukajiona uko juu zaidi ya uhalisia.

Nimewahi date na wenye ego,yani mtu anajisikia vibaya sana halafu ukiangalia sio lolote kuanzia muonekano na kila kitu.
Ambacho huwa nakifanya ni kujishusha,kama sioni vile.
Mwisho wa siku tukija kubreak up huwa haupiti muda wananitafuta tena kwa masikitiko na kujishusha kulikopitiliza.
Kuna Ex wangu mmoja aliwahi kuniambia "Wewe ni mwanamke wa ajabu Nifah,wanawake kama wewe wamebakia ktk filamu pekee"
Sababu kuu ni unyenyekevu,huruma,heshima na ustaarabu nilivyojaaliwa.

Siri ya yote hayo ni kutokulipa ubaya kwa ubaya,tenda wema nenda zako.
Wema huishi milele.
Period

watoa kauli ya wewe sio type yangu huwa hawajiamini wanajaribu kujifariji tu maana kamawako juu ki hivyo walikuwaje hadi kuwa na huyo? tena mtu anayesema hivyo ujue uko juu zaidi yako moyoni anakukubali mbaya
 
Haipendezi kabisa kumtakia mtu maneno kama hayo,hujafa hujaumbika binadamu humkuta chochote muda wowote .Kama mtu umemchoka au humtaki kuna maneno ya kutumia na ukaeleweka vyema.
 
Mimi niliambiwa, tena kwa jeuri na dharau akaniambia labda dada yangu ndio type yangu, ,, ila anajutia kuniambia hivyo kwani mpaka leo ana mapengo.
 
Haipendezi kabisa kumtakia mtu maneno kama hayo,hujafa hujaumbika binadamu humkuta chochote muda wowote .Kama mtu umemchoka au humtaki kuna maneno ya kutumia na ukaeleweka vyema.
Unaweza ukatukanwa na kuambiwa maneno mazito ukawa na moyo wa kuvumilia kusamehe na kutake easy....

Ila ukaambiwa neno dogo kama hilo likakamata moyo wako kwa namna flani ukabaki kujiuliza huyo aliekwambia hivyo ana nini cha zaidi?

Kuna tu maneno tu dogo dogo ila vinaweza kujenga ufa moyoni kwa mtu. Na sanyingine anaweza asikwambie hapohapo. Muhimu ni kuchunga sana kauli zetu
 
we unamwacha baada ya kuhakikisha umepata ulichokuwa unakitaka! Umesema akishakolea ndo unamwacha!
Hahaha ndio sasa kwani kumkoleza na yeye si anafaidi au mimi mwenyewe ,sasa dada ulitaka nimwache kabla sijamkoleza aishie kuniita mwanaume suruali
 
Thanks Nifah you too, watu wengine wana muda wa kupoteza na kuendelea kujipa stress zisizohusu kitu.

Mkuu ni wachache sana ambao huamua kumove on bila drama.
Sasa hivi burudani ya drama za breakups zimehamia WhatsApp.
Mara huyu kaweka DP hii na status ya mafumbo mwenzie nae kaweka nini sijui


Mimi nikiachana na mtu wala huwezi jua,ndio kwaaaanza naweka DP's na status za kawaida kabisaaaa.
Huku Ex yeye anahangaika

Kiufupi kufanyiana visa baada ya kuachana ni kutokukomaa kiakili.
Mapenzi sio maisha,na maisha lazima yaendelee.

Eid Mubarak brother
View attachment 398464
 
Does that phrase sound familiar ??

Ulisha wahi ambiwa hvyo na mpenzi wako au mtu wako wa karibu when dating ??

Ili kua kuaje ??

Ulijiskiaje ??

Ulichukua hatua gani ??


All is well once again, hope ur having a calm weekend.

Well nimependa tu niwaambie vijana wenzangu wanao pitia hali hii kwa sasa....kwamba sio wao tu tupo wengi tuliyokwisha yapitia hayo on different life circumstances...na leo wengine tumeshuhudia tukiandaliwa meza moja na hao hao watesi wetu.

Kikubwa jiamini, simama piga kazi kwa nguvu zote, focus more on ur life and happiness, the right one at the right time will come in ur life and stay na hao hao waliokuchukilia poa one day watasujudu.

Nimejisikia tu ku share after remembering some past memories in my life.


Regards

Senior Boss.
Dah sijawahi ambiwa ila i can feel it.kama msumari wa moto
 
Ishanitokea kwa huyu jirani angu.....
Anadai mm mtoto, mara mi muislamu ye mkristo ila angenambia tu kuwa "am not her type"

ila nishasema ipo Day atanielewa tu ngoja nikaze moyo nipige chapaaa
 
Kwnn hatupendi ukwl jmn... Hlo neno nahisi mnalipa tafsiri tofauti.... Hahahahaaaa....not being of somebody's type has a broader meaning not the single meaning many are trying to define. Let's get out of the box and think wide...
 
Back
Top Bottom