William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,466
Mwinyi na Warioba na Pinda na Malecela na maswahiba wa Mramba toka uhuru na Mawaziri na wabunge wengine wengine, na yeyote anaepigia kelele ufisadi akitokea kumuoza mtoto wa Mramba ina maana mnafiki - haelewi the symbolic meaning ya kuto ji-distance na mshutumiwa wizi!!
Marekebisho, Malecela na mkewe wako London toka last week kwenye ziara ya binafsi itakayowachukua mwezi mmoja na nusu, kati ya nchi mbali mbali za Europe na USA.
Thanxs!