Yesu sio Mungu

Kama imani ni kusadiki mambo yasiyothibitishika, waamini hamna haja ya kuthibitishiana chochote kwa kuwa wote mnaamini tu mambo ya kusadikika.
Kila mmoja aendelee kuamini simulizi za za kitoto za mzungu au mwarabu kwa kujinafasi.
 
Sasa ndio naelewa kuwa wewe huna elimu yoyote na sio unajua unachokiongea asante sana
Nimekujibu Kwa upande wa wakristo mitume ni wanafunzi wa Yesu na wengine wasambaza injili manabii ni walotumwa na MUNGU sio wafuasi wa Yesu wala wanafunzi

Sasa hapo ujaelewa nini na hii mada inahusu wakristo na Yesu
 
Muendelezo.
Utatu Mtakatifu na Umungu wa Yesu

Utatu Mtakatifu unafundisha kuwa kuna Mungu mmoja tu, lakini Mungu huyu huonekana katika nafsi tatu tofauti: Baba, Mwana (Yesu Kristo), na Roho Mtakatifu. Kila nafsi ni Mungu kamili, mwenye asili ya kiungu, nguvu, na utukufu sawa, lakini si watu watatu tofauti, bali ni nafsi tatu katika Mungu mmoja.

Katika muktadha huu, Yesu ana asili ya kiungu na ni Mungu, lakini si Baba; ni nafsi ya pili ya Utatu. Roho Mtakatifu pia ni Mungu, nafsi ya tatu. Hii inaonyesha uwamoja na usawa wa kiungu kati ya Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu, ingawa kila mmoja ana kazi zake tofauti katika mpango wa wokovu.

Kwa hiyo, Yesu ni Mungu kwa asili, si kiumbe wala malaika, bali sehemu ya Utatu Mtakatifu – Mungu mmoja, nafsi tatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu), wote wakiwa Mungu mmoja kwa uungu na mamlaka.
 
Sijawahi ona uchawi katika maisha yangu. Kwanini umeuliza hivyo mkuu😆
Mkuu ngoja nikuonesha sehemu ya kuona uchawi Kuna vipindi vya america live talent show search YouTube utaona uchawi live
 
Nimekujibu Kwa upande wa wakristo mitume ni wanafunzi wa Yesu na wengine wasambaza injili manabii ni walotumwa na MUNGU sio wafuasi wa Yesu wala wanafunzi

Sasa hapo ujaelewa nini na hii mada inahusu wakristo na Yesu
Kusema mitume ni wanafunzi wa yesu hii sio maana ya mitume mkuu ?

pengine tukijua maana ya mitume

na nini maana ya nabii kidogo tutaweza kuelewana tatizo hujui hivi vitu ni nini ?
 
Haya maelezo alitoa Yesu mwenyw au katika kikao Cha nicaea miaka miatatu baada ya Yesu kupazwa?
 
Nipe hiyo Aya anayosema MUNGU alitaka kuja kuongea nasisi Duniani ndo akaja kama binadamu
Wewe umeweka Aya ipi ?

Mika 1:1
Hili ndilo neno la Bwana lililomjia Mika, Mmorashti, katika siku za Yothamu, na Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda; maono aliyoyaona katika habari za Samaria, na Yerusalemu.

2 Sikilizeni, enyi watu wa kabila zote; sikiliza, Ee dunia, na vyote vilivyomo; Bwana MUNGU na ashuhudie juu yenu, yeye Bwana kutoka hekalu lake takatifu.

3 Kwa maana, angalieni, Bwana anakuja akitoka mahali pake, naye atashuka, na kupakanyaga mahali pa dunia palipoinuka.

4 Na hiyo milima itayeyuka chini yake, nayo mabonde yatapasuliwa, kama vile nta iliyo mbele ya moto, kama maji yaliyomwagika tena kutelemka gengeni.
..........
Ninaposema Mungu simaanishi kiumbe Allah:
Ukimuwaza kiumbe Allah huwezi kuelewa andiko la Nabii Mika hapo Juu
Allah is a Satan:
 
Kusema mitume ni wanafunzi wa yesu hii sio maana ya mitume mkuu ?

pengine tukijua maana ya mitume

na nini maana ya nabii kidogo tutaweza kuelewana tatizo hujui hivi vitu ni nini ?
Kwa dini ipi? Kwa ukristo nipo sahihi Kwa uislamu nimekosea nakubali, lkn hapa tunaongea kuhusu ukristo hivo jifunze tena
 
Mkuu ngoja nikuonesha sehemu ya kuona uchawi Kuna vipindi vya america live talent show search YouTube utaona uchawi live
Mi wala sitaki kuona uchawi wala sitaki kuufatilia. Sijawahi kuogopa uchawi kwasababu siujui
 
Ulizonazo wewe ni zipi?
-Mungu hanyi mavi
-Hali mikate na hajawahi kusikia njaa
-Hajawahi kuzaliwa
-Mungu hajawahi kujamba mifuzi
-Mungu hawezi kuteswa na kidhalilishwa, kuchapwa fimbo na kiumbe alichokiumba yeye mwenyewe.
-Mungu hafi hata Kwa sekunde na kwa sababu hiyo basi hata kufufuka hawezi
 
Mungu anaweza au hawezi kufanya jambo fulani?
 
Wewe hauko timamu kwahyo hizo Aya ndo zilikua zinatabiri ujio wa Yesu au?
 
Porojo tupu,, hayo yote ni maneno ya watu ambao wengine hata hawakumdiriki Yesu mwenyewe

Kalamu za waandishi zinawaingiza mkenge wakristo, hawajui kutofautisha ni yepi Maneno ya YESU na ni yepi maneno ya waandishi.

Kwani mtu akisema mimi na Rais wangu ni wa moja? Hii inaamaanisha kuwa yeye pia ni Rais na ana mamlaka ya Urais?

Au Yesu aliposema mimi ni ndimi njia ya ukweli na uzima ....Ndio inamaanisha kuwa yeye ni Mungu?
Kwanini isitafsirike kuwa yeye kapewa muongozo na utume kutoka kwa Mungu ili awaongoze Wana Israel katika njia ya sawasawa?

Hivi haya maneno mnayaweka katika mizani gani? Mbona mnatumia matamanio ya nafsi zenu ili kupotoa?


Na kuhusu jambo la kufa na kufufuka kwa YESU ni story ya kubuni tu kutoka kwa wapagani Haina ushahidi wowote kielimu.

Et YESU awe Mungu alafu atumie maneno ya kimafumbo kujificha ili watu wasimfahamu kwa kuhofia kupingwa au kuuliwa ni Mungu gani huyo mwenye udhaifu namna hiyo?? Subhanallah!!!

Ikiwa mitume hawakuweza kuficha utume wao kwa Kaumu zao na wao ni wanaadamu hawakuweza kufanya hivyo, je kwa Mungu mwenye madaraka yote, muumbaji, mteza nguvu, anafanya atakalo bila ya kuhukumiwa, mwanzilishi wa maisha, anaefisha , anaehuwisha itawezekanaje?

Wakristo tumieni akili mbona mnakuwa mambumbumbu kwa vitu vidogo kama hivi?

Na ndio maana mkaihujumu injili ya Barnabas kwa kuingiza hekaya zenu za uzushi kama hivi.

Kuingiza imani ya utatu mtakatifu ikiwa YESU mwenyewe hakuanzisha Wala haitambui.
Kama YESU Kaianzisha lete ushahidi wa kielimu!!

Nimalizie tu ukifa katika ukristo juwa wewe unaenda motoni milele bila ya shaka yoyote.
 
Mungu anaweza au hawezi kufanya jambo fulani?
Mungu Allah huwa hawezi mambo mengi tu:
Unaposema Mungu lazima umtaje jina lake ili watu wafahamu hivyo.
Alicho fanikiwa Allah ni kuwashawishi baadhi ya watu kuimba kila siku.
Munguuuu Mkubwaaa
Yaani Allahhh Akbarrrr
 
MUNGU sio jina ni cheo ie. Muumbaji. Kitabu cha Kutoka wakati Mungu anaongea na Musa kwenda kwa farao Mungu alimwambia Musa
Kutoka 3
13. Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n’nani? Niwaambie nini?
14. Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO;<br> akasema, Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli; MIMI NIKO<br> amenituma kwenu.
Kwa hoja hii neno Mungu sio jina bali ni cheo ambacho hata miungu ya Misri ilikuwa nayo Musa anataka jina la Mungu na Mungu anajifunua jina lake kuwa hapo kama "NIKO AMBAYE NIKO".
Yohana 8
54. Yesu akajibu, Nikijitukuza mwenyewe, utukufu wangu si kitu; anitukuzaye ni Baba yangu, ambaye ninyi mwanena kuwa ni Mungu wenu.
55. Wala ninyi hamkumjua; lakini mimi namjua. Nikisema ya kwamba simjui, nitakuwa mwongo kama ninyi; lakini namjua, na neno lake nalishika.
56. Ibrahimu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi.
57. Basi Wayahudi wakamwambia, Wewe hujapata bado miaka hamsini, nawe umemwona Ibrahimu?
58. Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.

Kumbe wayahudi walimwita Mungu wasiyemjua Yesu anawaambia yeye anamjua hivyo wamuulize atawaambia kuhusu huyo Mungu. Ni mfano na umeenda ofisini ile uko nje unamuulizia boss wa ofisi na uliyemkuta nje ndio yeye Ila hajajifunua maana hayuko na hujamkuta ofisini akaanza kukuuliza una shida gani wewe unang'anana kutaka kuongea na boss huku unatoa maneno ya kashfa anakuambia ukiniona Mimi umemuona boss wewe unang'ang'ana kutaka kumwona boss kumbe ni yeye Ila anaku enjoy tu Mara anakufukuza kisha anakuja mtu kukutonya kuwa huyo ndio boss sijui utafanyaje maana ulidhani boss at a kuwa kwenye suit Kali, kiatu kikali, yuko ofisini wakati wote, hachangamani na kuwa na ukaribu na watu n.k

Wafilipi 2
5. Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu;
6. ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho;
7. bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu;
8. tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.
9. Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina;
10. ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi;
11. na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.

Anaposema kwa hiyo Mungu akamkilimia jina inamaanisha Mungu (ofisi) ikamkamkilimia. Mungu ni ofisi tu na sio kitu chochote mnachofikilia

Yohana 1
18. Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua.
Sasa wewe uliyemuona Mungu said Yesu mfunue hapa huyo mungu tumuone.

Kibinafsi nasema Yesu ni Mungu kwa sababu anajua alipitia magumu yote katika mwili akashinda hivyo anajua udhaifu wangu vizuri. Sasa huyo Mungu wako asiyejua njaa, majaribu ya wanawake, ukata n. K simtaki maana ni mungu mjinga na muoga asiyejua hustle tunazopitia wanadamu yeye akae huko alike Sisi tunabanana na Mungu na Bwana wetu Yesu Kristo mfufuka mpaka atufukishe mbinguni. Amen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…