Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 14,371
- 18,163
Maria yupi?Yesu mwana wa maria
Huyu Maria wa Mbagala ?
Au wawapi ?
Maria yupi?Yesu mwana wa maria
Ulifundishwa ukiwa mtoto sio kosa lako, je Yesu alifundisha hivo?Mimi kwa tulivyofundishwa toka Utotoni ni kuwa Mungu ni Mmoja ila Ana Nafsi tatu
Mungu Baba= Ambaye ndio Mungu Mkuu
Mungu Mwana= Ambaye ni Yesu Kristo
Mungu roho Mtakatifu=Ambae hutuombea pasikoweza kutamkwa kama nimekosea Nisahihishwe.
Ulifundishwa ukiwa mtoto sio kosa lako, je Yesu alifundisha hivo?Mimi kwa tulivyofundishwa toka Utotoni ni kuwa Mungu ni Mmoja ila Ana Nafsi tatu
Mungu Baba= Ambaye ndio Mungu Mkuu
Mungu Mwana= Ambaye ni Yesu Kristo
Mungu roho Mtakatifu=Ambae hutuombea pasikoweza kutamkwa kama nimekosea Nisahihishwe.
YESU MUNGU KWELI NA MTU KWELI🙏Nasema hivi mtu akija na hoja yeye mashiko kuwa Yesu ni mungu nampa laki 1 niliiweka kwenye kibubu kwa zaidi ya miezi mitatu, ntakupa akiba yangu yote.
Uje umekula mambo ya matusi, sijui roho mtakatifu usiyalete hapa leta hoja nzito
Yule bikira ambae mnasala yake ( sala ya maria mama wa Mungu)Maria yupi?
Huyu Maria wa Mbagala ?
Au wawapi ?
Mimi huyo simjui wala sijawahi kusali hiyo sala:Yule bikira ambae mnasala yake ( sala ya maria mama wa Mungu)
Sio kukalili Mimi naamini hivyo MkuuUlifundishwa ukiwa mtoto sio kosa lako, je Yesu alifundisha hivo?
Ushawah kujiongeza toka ulivokua mkubwa hayo mambo ya utatu chanzo chake nini na wapi?
Awe umebak kukariri TU?
Sisali popoteSawa mkuu, wewe unasali wapi kwani
Endelea kuamni, lkn usiache kujifunza Kwa kigezo Cha imaniSio kukalili Mimi naamini hivyo Mkuu
KwaherMimi huyo simjui wala sijawahi kusali hiyo sala:
Anapatikana wapi huyo Maria ?
Andika maelezo ya kiswahiliYESU MUNGU KWELI NA MTU KWELI🙏
Sawa Wewe Unaamini Yesu ni Mungu?Endelea kuamni, lkn usiache kujifunza Kwa kigezo Cha imani
Karibu sanaKwaher
Mungu anaweza kufanya Kila kitu ila Hana sifa za kibinadamuMungu anaweza au hawezi kufanya jambo fulani?
Kama nini anachoweza "kufanya kila kitu", halafu unasema "hana sifa za binadamu" maana yake "hawezi kufanya kila kitu". Kwa hiyo, umesema nini sasa, kwamba "anaweza kufanya kila kitu" au kwamba "hawezi kufanya kila kitu?"Mungu anaweza kufanya Kila kitu ila Hana sifa za kibinadamu
Mlaumu baba ako kushindwa kukusomeshaAndika maelezo ya kiswahili
Ndio maana nikakuambia leta hapa sifa za mungu kulingana na bible inavosema. Na kama hakuna katika bible basi jua Kuwa hicho kitabu hakijakamilika na kwamaana hiyo unatakiwa upuuze hiyo dini. Yaani mungu anye mavi kweli?😂😂Kama nini anachoweza "kufanya kila kitu", halafu unasema "hana sifa za binadamu" maana yake "hawezi kufanya kila kitu". Kwa hiyo, umesema nini sasa, kwamba "anaweza kufanya kila kitu" au kwamba "hawezi kufanya kila kitu?"
Sijaelewa hoja yako.Kutoka 33:20
"Wewe huwezi kuuona uso wangu, kwa maana mwanadamu hataniona akaishi."
Kutoka 33:11
"BWANA akazungumza na Musa uso kwa uso, kama vile mtu azungumzavyo na rafiki yake."
Isaya 6:
"Katika mwaka ule aliokufa mfalme Uzia, nalimwona Bwana, akeketi kwenye kiti cha enzi chake, na mavumbi yalijazwa hekalu."
Ezekieli 1:28
"Maono ya utukufu wa BWANA... kung’aa kwake kulingana na utukufu wa BWANA."
Hayo ya yohana ikiwa ni maneno ya Yesu mwenyw natoka atheist nakua mkristo hapa Sasa hvi
Ushakutana na ndugu zako wa Kijini ?Nasema hivi mtu akija na hoja yeye mashiko kuwa Yesu ni mungu nampa laki 1 niliiweka kwenye kibubu kwa zaidi ya miezi mitatu, ntakupa akiba yangu yote.
Uje umekula mambo ya matusi, sijui roho mtakatifu usiyalete hapa leta hoja nzito
Arianism
Sawa ntamuomba anipeleke Kwa Ras Simba nami nijue kiingereza niwe msomiMlaumu baba ako kushindwa kukusomesha