Yesu Hadi ana sulubiwa msalabani hakuwahi kujenga. Je Ina maana alikuwa anaishi wapi kabla hajaanza kazi ya ukombozi?

Yesu Hadi ana sulubiwa msalabani hakuwahi kujenga. Je Ina maana alikuwa anaishi wapi kabla hajaanza kazi ya ukombozi?

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
11,250
Reaction score
24,085
Agano Jipya lote. Hakuna mahali yesu imemuandika alikuwa alikuwa na nyumba au ploti tu. Yeye mwenyewe alisema ndege wa angani Wana viota na wanyama wa mwituni Wana mapango lakini mwana wa Adamu Hana pahali pa kulaza hata kichwa chake

Luka 9:58

“Ndege wa angani wana viota, na mbweha wana mapango; lakini Mwana wa Adamu hana pa kulaza kichwa chake.”

Ina maana kwa umri huo wa yesu ujana wake wote alikuwa anafanya kazi gani na alikuwa anaishi wapi?

Maana kazi halisi ya ukombombozi site tunaijua kaifanya Kwa Wakati mchache tu almost miaka3 maana alianza akiwa na miaka 30!


Ni sahihi vijana wa kikristo kuwakemea na kumwambia wajenge nyumba Ili Hali kristo wao hakuwa nayo Wala hakueleweka alikuwa anaishi kwanani?

Yesu kama Role model wetu hapa tunajifunza Nini?
FB_IMG_1739640865661.jpg
 
Agano Jipya lote. Hakuna mahali yesu imemuandika alikuwa alikuwa na nyumba au ploti tu. Yeye mwenyewe alisema ndege wa angani Wana viota na wanyama wa mwituni Wana mapango lakini mwana wa Adamu Hana pahali pa kulaza hata kichwa chake

Luka 9:58

“Ndege wa angani wana viota, na mbweha wana mapango; lakini Mwana wa Adamu hana pa kulaza kichwa chake.”

Ina maana kwa umri huo wa yesu ujana wake wote alikuwa anafanya kazi gani na alikuwa anaishi wapi?

Maana kazi halisi ya ukombombozi site tunaijua kaifanya Kwa Wakati mchache tu almost miaka3 maana alianza akiwa na miaka 30!


Ni sahihi vijana wa kikristo kuwakemea na kumwambia wajenge nyumba Ili Hali kristo wao hakuwa nayo Wala hakueleweka alikuwa anaishi kwanani?

Yesu kama Role model wetu hapa tunajifunza Nini? View attachment 3447227
Sio kila kitu kimeandikwa kwenye biblia.
 
Mathayo 13:10-11,13

[10]Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?

[11]Akajibu, akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, bali wao hawakujaliwa.

[13]Kwa sababu hii nasema nao kwa mifano; kwa kuwa wakitazama hawaoni, na wakisikia hawasikii, wala kuelewa.

Jitahidi wakati unaposoma Neno la Mungu uombe msaada wa Roho Mtakatifu ili uweze kulielewa halafu ili kulielewa neno la Mungu jitahidi kusoma Sura nzima au mistari inayoambatana ili kuweza kuelewa neno lilikuwa linamaanisha nini kuliko kuchukua mstari mmoja halafu ukautafsiri isivyo Sahihi... Kwenye hilo neno Yesu hakumaanisha nyumba unayofikiria wewe

Halafu utambue kwamba kazi iliyomleta Duniani haikuwa kuja kufanya starehe au kutafuta vitu vya hapa duniani vinavyopita kwahiyo either alikuwa na nyumba au hakuwa na nyumba haikuwa na maana ya kuandikwa ili uelewe zaidi siyo kila kitu kilichoandikwa kwenye Biblia soma

Yohana 21:25]Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.
 
Mathayo 13:10-11,13

[10]Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?

[11]Akajibu, akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, bali wao hawakujaliwa.

[13]Kwa sababu hii nasema nao kwa mifano; kwa kuwa wakitazama hawaoni, na wakisikia hawasikii, wala kuelewa.

Jitahidi wakati unaposoma Neno la Mungu uombe msaada wa Roho Mtakatifu ili uweze kulielewa halafu ili kulielewa neno la Mungu jitahidi kusoma Sura nzima au mistari inayoambatana ili kuweza kuelewa neno lilikuwa linamaanisha nini kuliko kuchukua mstari mmoja halafu ukautafsiri isivyo Sahihi... Kwenye hilo neno Yesu hakumaanisha nyumba unayofikiria wewe

Halafu utambue kwamba kazi iliyomleta Duniani haikuwa kuja kufanya starehe au kutafuta vitu vya hapa duniani vinavyopita kwahiyo either alikuwa na nyumba au hakuwa na nyumba haikuwa na maana ya kuandikwa ili uelewe zaidi siyo kila kitu kilichoandikwa kwenye Biblia soma

Yohana 21:25]Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.
Hakika umedadavua.
 
LABDA BWANA YESU ALIKUWA mtu wa MICHEPUKO so Hakuhitaji Kujenga Nyumba, Leo analala Kwenye MCHEPUKO HUU, kesho kule , Nyumba ya Nini ?
 
Back
Top Bottom