Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 10,602
- 14,829
vipi hyo mwenzake? anazo/hana ?Unatoka chama maiti unahamia chama mzoga. Hii akili kweli? Mtu ukishasema huna dini basi hata akili unakuwa huna
vipi hyo mwenzake? anazo/hana ?Unatoka chama maiti unahamia chama mzoga. Hii akili kweli? Mtu ukishasema huna dini basi hata akili unakuwa huna
Tena wamekuwa wengi hasaNaona maadui wa CHADEMA wamesimama
Hawakosagi wewe subiri utaona.Ykitaka kujua wewe anzisha kanisa tu utaona waumuni na sadaka utapataWatanzania watakao waunga mkono hawa wasiliti , itakuwa hawana akili
Uzuri au ubayaWatanzania watakao waunga mkono hawa wasiliti , itakuwa hawana akili
Huyu jasusi uchwara kafilisika, Wewe unasema wenzako wamekufa kwasababu wamekataa kuwa MACHAWA 😀😀😀😀, Then mmewafunga KAMBA za Mikono ukadhani wata Surrender lakini wapi? The Storm is Coming tutayajua yote yaliyo Behind the Curtain, For the time being let us focus on #NoReformNoElectionBaada ya aliyekua kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Yeriko Nyerere, kutangaza kujiunga rasmi na Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma). Agosti 6, 2025 makao makuu ya Chaumma yaliyopo Biafra Kinondoni jijini Dar es Salaam, ametoa madai kuhusu kuanguka kwa CHADEMA
Labda familia zao. Watanzania wameelevuka sana. Hasa wanaosapoti upinzani. Wanajua wapinzani wa kweli na wapinzani madalali.Watanzania watakao waunga mkono hawa wasiliti , itakuwa hawana akili
Hata kesi ikiisha 2050 bado chadema kwetu ndio chama cha ukweli. Inshort cdm imegeuka kuwa imani kwetu, muda na siasa za kitapeli hatuna.Na Lisu Hadi amalize kesi ni 2030 😂😂
Huyu ni Deo Kisandu part two. Kwanza akili zake haziko sawa halafu anajipa tuzo za ''vitabu'' ambavyo havina mantiki yoyote kama ukivisoma. Ni muunganiko wa maneno yasiyoleta logic yoyote ambayo ana-copy na ku-paste...Baada ya aliyekua kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Yeriko Nyerere, kutangaza kujiunga rasmi na Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma). Agosti 6, 2025 makao makuu ya Chaumma yaliyopo Biafra Kinondoni jijini Dar es Salaam, ametoa madai kuhusu kuanguka kwa CHADEMA
Mkuu ndiyo unajua leo? Ulikuwa unamjua jamaa alikuwa anaitwa Deo Kisandu? Aliwahi kuwa CHADEMA na akikuwa kama Yeriko copy. Ni watu ambao vichwa vyao haviko sana ila siyo vichaa per se.Looh! Kumbe huyu Yeriko huwa ana uwendawazimu mpaka wa kiwamgo hiki! Hata huko alikoenda, wamepata hasara kubwa!!
Unatoka chama maiti unahamia chama mzoga. Hii akili kweli? Mtu ukishasema huna dini basi hata akili unakuwa huna