Wizara ya elimu toeni majina ya hawa watoto waliomaliza F4 wakasomee certificate zao maana jukwaa limeingiliwa tena kwa nyuma.Michepuko sio dili. Katika siku nilizowahi kutia aibu kwenye suala la michepuko basi ni leo. Huyu binti nmezoeana nae sana, kila siku nlikuwa nikiomba mzigo. Tatizo lake alikuwa ananiahidi tu pasipo kuja. Sasa leo jioni nikachonga nae, kweli mtoto kama masiala hivi tukaondoka. Kufika geto sasa ndo kimbembe kilipo anza. Mtoto kavua nguo, nikamwandaa fresh, ile kutaka kuvaa condom tu, mzee chali, nikafikiri masiala, nikajaribu kuvuta hisia hamna kitu, mpaka mtoto wa watu kaondoka na nyege zake sijafanikiwa kumgonga. Siamin kilicho tokea,. Mpaka imebidi nimuulize hivi huyo mchumba wako kakuwekea dawa? (maana aliniambia ana mtu wake) yani ilikuwa nikivuta hisia inasimama nikitaka kuvaa condom chali. Naona aibu sana.
Nyuki wa mashineni umechezea unga tu hujang'ata....
ningekuwa mie mtaa mzima wangekujua
Nasikia supu ya nanii za beberu ni dawa....
Teh teh...eti mtaa mzima wangejua..kwa kwa kwa! Mbavu zangu jamani...!
Shukuru Hujangangania humo humo! Mambo ya tanga hayo ya tego, allah na kisu!
SO WEWE UNA SILAHA MOJA TU VITANI, HAKO KAGOBOLE.? Kakinoki kushuti baaaaas! Ushaliwa vitani? Hivi jando umeenda kweli wewe? Au ndo ole sunna inqfanywa na Dr. Hospitali !!!?
Wenzio kutumia gobore ni very optional, hata lijiloki kazi inaendlea kama kawaida coz wanazo silaha nyingi sanaaaa! Rudi jando ukaelimike! Bila haya nimemuacha na genye! Hovyoooo! Au ulimi, mikono, miguu, etc vyote vilisinyaaa.?
Nyuki wa mashineni umechezea unga tu hujang'ata....
ningekuwa mie mtaa mzima wangekujua
Mkuu kuna uwezekeno mkubwa hujazoea kutumia condom ndipo shida ilipoanzia baada ya kutaka kuvaa hiyo sox
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Afu wewe? Ntakutangaza ujue. Nina neno nawe
Nyuki wa mashineni umechezea unga tu hujang'ata....
ningekuwa mie mtaa mzima wangekujua