Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Kiukweli watanzania mnanishangaza,yaani tangu mwaka 1973 lilipoundwa baraza la mitihani ,baraza hilo limekuwa likiongozwa na katibu mtendaji mroma.wote mnao dai kuwa kiongozi hachaguliwi kwa kigezo cha dini yake,na hata mimi naunga mkono kiongozi achaguliwe kwa uwezo.lkn swali hapa ni je watanzania wenye uwezo ni lazima wawe wakatoliki tuu.pamoja na hayo je hakuna waislam au madhehebu mengine wenye uwezo mpaka baraza la mitihani la taifa likawa kama PAROKIA? Haya mambo ya kujimilikisha taasisi za umma ndio yaliyoleta machafuko nchi za wenzetu na sasa umefika wakati kwa rais kulifanya baraza la mitihani kuwa na sura ya kitaifa na si parokia tena kama wanavyolfanya sasa.
 
si kila idara nyeti inapaswa kushikwa na wakatoliki,mbona shirika la NSSF linaongozwa kwa ufanisi mkubwa kuliko mifuko mingone ya hifadhi za jamii,mbona haki inatendeka?kwanini necta igeuke machinjio ya waislaam na kuwabeba wakristo hasa wakatoliki?
ushahidi wa kuwa wakatoliki wanabebwa ni jinsi shule zao zinavyoongoza kwenye mitihani ya taifa kila mwaka kwa kupata division one lkn wanapokwenda vyuo vikuu ambako haki inatebdeka,utakuta mtoto mwenye one anakimbizwa darasani na aliepata div three.hili ni tatizo.huu ni ushahidi wa kimazingira kuwa qatu walibevwa.mfano mwingine ni mh.mnyika ambae wakati anasoma o-level ktk shule ya kanisa alipata alama A tisa yaani one ya point saba lkn cha ajabu alipomaliza form six ktk shule isiyo ya kanisa akapata div four .hii haingii akilini maana kwa uzoefu ni kuwa,ni rahisi sana kufaulu mtihani wa form six kuliko form four lkn why mnyika alifeli a-level kama kweli hizo A alizipata kwa akili zake?
 
Tatizo la wasomi wa tz yaani utakuta mtu anaongozwa na hisia za dini yake ktk maamuzi ya msingi.mfano ni udini wa ndalichako kuwafelisha watoto wa kiislaam kwa chuki tu za kidini alizonazo. waislaam hakuna kurudi nyuma maana kanisa lilikuwa likiwatumia Bakwata kama vubaraka kupora mali na haki za waislaam sasa kila mtu alishalijuwa kuwa Bakwata bi tawi la kanisa katoliki na hivyo tuwaache aki na alhadi mussa na simba wawatumikie makafiri ila sisi tuendelee kuungana kudai haki mpaka hapo itakapo patikana.swala la kuwapiga risasi viongozi wetu ni vitisho vyenye lengo la kuhalalisha dhulma hivyo ni msoambabo tu maana hatuna chakupoteza.
 
Hili lidada linaloitwa faizafoxy lina udini sana.hii ni shida itatumaliza.wakumbuke pona yao ni kwasababu wa dhehebu hili lingine msingi wa imani yao ni upendo na ndilo la msingi linalofanya mpaka sasa nchi imetulia.kama imani yetu ingejengwa kwenye msingi wa jino kwa jino mbona mpaka sasa tanzania ingekuwa haipo tena.mimi mwenyewe ni mhadhiri msaidizi wa chuo ambacho kipo chini ya kanisa na tunao ndugu zetu wa imani hiyo japo wachache na hawana say hapa tunawapa haki zao na kuwa-treat kama wanafunzi wengine bila kujali imani zao.

Ukiacha vyuo vya serikali waislamu wote wanaosoma vyuo binafsi wako vyuo vya kanisa na wengi wamekipiga chini chuo chao cha mum-morogoro kwani wanajua elimu bora iko wapi na kwa watu wenye upendo.sasa sisi tukiamua kufanya hujuma ya kuwapiga chini wote si sawa na kumsukuma mlevi tu.wakristo watawapata wapi,nitafutie mkristo aliyeomba kwa hiari kujiunga na mum-moro nikupe sumuni.

Wenyewe wajipange wafanye bidii kwenye elimu dunia.
 
Mimi naamini kuwa hakustahili nafasi hii kwa kipindi hiki cha serikali isiyotaka kuambiwa ukweli licha ya mashinikizo mengine, but we need people like her as many as possible in a government of the people for the people.
 
Ni bora kaondoka...huyu mama analaumiwa kana kwamba yeye ndiye waziri wa elimu...yeye ni mpimaji tu...Kumlaumu Ndalichako kwa matokeo mabovu ni sawa ni kumlaumu mkamua maziwa kwamba maziwa ni kidogo kabla hujamuuliza kama mchungaji aliwashibisha ng'ombe vizuri.
Kwa kuondoka kimya kimya amelinda taaluma yake kwani siasa zimezidi sana sasa kwenye karibu kila sekta na elimu ikiwa ndiyo immediate victim
 
Haya wakipewa muislam mwenzao akawapa marks za bure na kufaulu mitihani ya necta,wakija huku vyuo vikuu wanakutana na nani? Si makafiri hao hao au na huku pia watasema vyuo vyote vya tanzania viongozwe na walimu wote wawe wa dini yao.wapi na watawapata wapi.vyuo vyote tz bila kujali ni vya serikali,binafsi au madhehebu ya dini,hesabu wahadhiri wote kwa idadi yao kisha tafuta mizania uone wakina nani wako wengi km sio wanaowaita makafiri,hawana pa kutokea.

Chukua shule zote tz za primary,sec, bila kujali umiliki,tafuta idadi ya wanafunzi kwa imani zao ukitoa shule za msingi makafiri wako wangapi? Chukua idadi ya walimu,wamiliki wa shule nzuri piga hesabu nani wako wengi,sasa unafikiri kwa kuwa na necta ndio mta-u-beat huu mfumo unaojaribu kuupaka matope kwa kuuita mfumo kristo.pole mwobho it is too late
 
Tatizo la wasomi wa tz yaani utakuta mtu anaongozwa na hisia za dini yake ktk maamuzi ya msingi.mfano ni udini wa ndalichako kuwafelisha watoto wa kiislaam kwa chuki tu za kidini alizonazo. waislaam hakuna kurudi nyuma maana kanisa lilikuwa likiwatumia Bakwata kama vubaraka kupora mali na haki za waislaam sasa kila mtu alishalijuwa kuwa Bakwata bi tawi la kanisa katoliki na hivyo tuwaache aki na alhadi mussa na simba wawatumikie makafiri ila sisi tuendelee kuungana kudai haki mpaka hapo itakapo patikana.swala la kuwapiga risasi viongozi wetu ni vitisho vyenye lengo la kuhalalisha dhulma hivyo ni msoambabo tu maana hatuna chakupoteza.

Ungekuwa na akili timamu usingeandika utumbo huu. Hata maandishi yako yasiyokuwa na aya na baada ya nukta unaanza sentensi kwa herufi ndogo, inaonyesha kabisa hukwenda shule sawasawa!. Sasa kwa mambo kama haya, mkifeli bado mnamlaumu Dr. Ndalichako??.

Kweli shule za kata ni janga sana kwa Taifa!.
 
si kila idara nyeti inapaswa kushikwa na wakatoliki,mbona shirika la NSSF linaongozwa kwa ufanisi mkubwa kuliko mifuko mingone ya hifadhi za jamii,mbona haki inatendeka?kwanini necta igeuke machinjio ya waislaam na kuwabeba wakristo hasa wakatoliki?
ushahidi wa kuwa wakatoliki wanabebwa ni jinsi shule zao zinavyoongoza kwenye mitihani ya taifa kila mwaka kwa kupata division one lkn wanapokwenda vyuo vikuu ambako haki inatebdeka,utakuta mtoto mwenye one anakimbizwa darasani na aliepata div three.hili ni tatizo.huu ni ushahidi wa kimazingira kuwa qatu walibevwa.mfano mwingine ni mh.mnyika ambae wakati anasoma o-level ktk shule ya kanisa alipata alama A tisa yaani one ya point saba lkn cha ajabu alipomaliza form six ktk shule isiyo ya kanisa akapata div four .hii haingii akilini maana kwa uzoefu ni kuwa,ni rahisi sana kufaulu mtihani wa form six kuliko form four lkn why mnyika alifeli a-level kama kweli hizo A alizipata kwa akili zake?


Hapo kwenye red, hujui unachokiongea wewe, zaidi ya ushabiki wa ki dini. Sasa watu wakianza kulalamika kuwa NSSF kajaza Waislamu utabisha??.

Toka lini NSSF ikaendeshwa kwa ufanisi kuliko mashirika mengine ya hifadhi za jamii??, uliza wanaofuatilia mafao NSSF ulinganishe na PSPF na PPF ndo utajua ukiritimba wa NSSF.

Kwa ushauri tu, acha jazba na ushabiki wa dini. Ukweli unabaki ukweli tu kuwa, uwezo wa mtu ndo unao hitajika. Mbona akina Dr. Idriss Rashidi waliongoza BOT vizuiri na hakuna tatizo??

Jitambueni na msifikiri dini zitawabeba, kama hukwenda shule ya maana na hukuelewa vizuri darasani na ukashindwa kushindana kwenye soko la ajira, hiyo ni tatizo lako, na si kulaumu ki dini dini!
 
  • Thanks
Reactions: mij
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
KUna Muislamu gani mwenye Elimu ya juu unayemfahamu acha Ualshababu wewe Ma,,,,la,,,,,ya,,,,a nakupa akiba ya maneno never ever kupata Mslamu kwenye ngazi kama zile wewe
 
Mtamuandama Mama Ndalichako mpaka bas! hiv mnadhan yeye ndo chanzo cha matokeo hayo? selikar yetu ianze kushuhurikia matatizo kwa uhakika! Matokeo ya walimu waliohitimu nga ya diploma na kushuka chin yalikuwa ovyo! hii inamaanisha kuwa hata walimu wanaoenda huko wanakuwa ni vilaza nkwenda kuzalisha wengine! Walofaulu sana ndo wawe walim na TUTAFANIKIWA
 
si kila idara nyeti inapaswa kushikwa na wakatoliki,mbona shirika la NSSF linaongozwa kwa ufanisi mkubwa kuliko mifuko mingone ya hifadhi za jamii,mbona haki inatendeka?kwanini necta igeuke machinjio ya waislaam na kuwabeba wakristo hasa wakatoliki?
ushahidi wa kuwa wakatoliki wanabebwa ni jinsi shule zao zinavyoongoza kwenye mitihani ya taifa kila mwaka kwa kupata division one lkn wanapokwenda vyuo vikuu ambako haki inatebdeka,utakuta mtoto mwenye one anakimbizwa darasani na aliepata div three.hili ni tatizo.huu ni ushahidi wa kimazingira kuwa qatu walibevwa.mfano mwingine ni mh.mnyika ambae wakati anasoma o-level ktk shule ya kanisa alipata alama A tisa yaani one ya point saba lkn cha ajabu alipomaliza form six ktk shule isiyo ya kanisa akapata div four .hii haingii akilini maana kwa uzoefu ni kuwa,ni rahisi sana kufaulu mtihani wa form six kuliko form four lkn why mnyika alifeli a-level kama kweli hizo A alizipata kwa akili zake?

John Mnyika hakupata Div.four akiwa form six,kuna post yake aliandika na akataja daraja zake alizopata hivyo usiseme uwongo.Ila acha udini mengine watanzania tujitahidi kuangalia shule wasomazo vijana wetu bila kujali dini wala kabila lake.
 
Dada FF,ningependa kukuomba kama Mtanzania japo ni mkristu au kafir kulingana na term yenu kwa wakristu,kwa sababu unafanya consultancy nadhani unauwezo wa kutusaidia ili ufanye RESEARCH yenye kutenda haki itakayohusu elimu ya Tanzania,kwa kuangalia Mitaala ambayo imebadilishwa na isiyokidhi matakwa ya ELIMU yetu,pilifanya utafiti wa kina kwenye shule za binafsi,za dini,za serikali ili uweze kutuletea tafiti itakayotusaidia watanzania kujuatujisaidie vipi ili watoto wetu wapate elimu bora na si bora elimu.Udini hautatusaidia hata kidogo.
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

hata aibu hamjisikii! mashule yenu ndiyo yanaongoza kwa zero sasa nani awaonee? endeleeni kushika madrasa kulia na tindikali kushoto halafu mseme mnaonewa!
 
Kwa kuwa lilikuwa ni kosa ambalo walimuwajibisha BOsi wa IT lakin yeye Joyce alitakiwa kujiuzuru kwa makosa waliyofanya watendaji wake. kama alivyofanya Mwinyi alipokuwa waziri wa mambo ya ndani. Alijiuzuru kwa kosa la watendaji wake walioachia mauaji ya wazee huko Shinyanga.

Au hujui hilo?

hapa Umejibu hili:
Kumbe makosa yalionekana, je makosa hayo ilikuwa ni hujuma za Ndalichako???

Vipi kuhusu hili ambalo hujajibu?
M
waka 2012/13 wanafunzi wengi wamefeli kidato cha nne, ikabainika kuwa ukokotoaji wa alama za ufaulu ulibadilishwa kwa wahitimu wote, je Ndalichako alihujumu tena waislamu tu hapa au alihujumu wote au ni serikali ilihujumu???
 
Back
Top Bottom