Bila shaka kuna harufu ya ubaguzi kwa hawa wenzetu wa bwawaniUkubwa wake upo katika nini? Na kama Simba ni ya wahindi kwani wahindi hao si wananchi wa Tz?
Bila shaka kuna harufu ya ubaguzi kwa hawa wenzetu wa bwawaniUkubwa wake upo katika nini? Na kama Simba ni ya wahindi kwani wahindi hao si wananchi wa Tz?
Halafu utakuja sikia "ni utani wa jadi tu huo"
Ukubwa wa mavi.Kama kaweza kustopisha mkataba wa GSM nani anamuwezaHicho kimbaumbau barbra si juzi tu kalikuwa na kesi na ofisa wa tff, kakaomba msamaha?
This time ndio ataujua ukubwa wa yanga ameyakanyaga..
kesi km ile ya MorrisonUtauona kupitia kesi hii.
Mkubwa mbele ya geita, mbuni FC. Kwa mpira huu wa Africa, Yanga Ina ukubwa gani.Tulia wewe! Yanga ndiyo timu kubwa kuliko zote nchini.
Na ndiyo maana inaitwa timu ya wananchi wa Tanzania. Siyo timu ya Wahindi hii.
Kuna kesi halafu Kuna malalamiko. HIZI nazo kesi?Utauona kupitia kesi hii.
Wapi manara alitaja simba hapo?
Kumbu kumbu zako zinasemaje siku hiyo asec alikuw mgeni wa nani hapo kwa mkapa?Wapi manara alitaja simba hapo?
Ukubwa wa mavi.Kama kaweza kustopisha mkataba wa GSM nani anamuweza
wewe Pimbi ulivyosema Simba timu ya wahindi ulimaanisha nn?Mwanaume kamili hawezi hata siku moja kudharau kazi za wanaume wenzake!
Dogo unatakiwa ujitathmini.
Sasa makuli ndiyo unafananisha na hayo magabachori yako! Hopeless kabisa wewe.wewe Pimbi ulivyosema Simba timu ya wahindi ulimaanisha nn?
Mimi nakupa history ya kweli ya Yanga,,
Wewe umeona dharau.
Yanga imeanzishwa na makuli wa bandarini..
Uliza vizuri history uelezwe.
Sasa kama dharau unaileta wewe.
Ukweli ndy huo..