Yanga vs JKT Oljoro!!!

Yanga vs JKT Oljoro!!!

Mendieta usisahau kutoa hata ofa 2 najua ulikuwa umedhamiria kubanduliwa n since mmeshinda sio mbaya kutoa japo ofa basi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
sielewi kesho nisimamie upande gani.... ngoja nitafute sababu za msingi za kunifanya nimuuunge mkono mmoja wenu.!!

Kesho ni raha tupu. Wakitoka sare watakuwa wamemalizana wao kwa wao, Azam akishinda Simba aibu tupu, Simba akishinda anasaidia kupeleka kombe jangwani, sasa hapa: Mkuna na mkunwaji, nani huona raha?
 
Gooool nini? Ni gool la 2 ni msuva

msuva ni sawa mbwa koko anaye bweka tu bila kung'ata. ukiona anavyokimbiza utasema huyo ndo mchezaji. lakini kufunga tu. hata ukimuachia goli atapiga nje. yeye na mbaga lao moja. siku wakifunga hata penati jua wamebahatisha. halafu wakifunga huwa wanashangilia saaanaaa!!. mia
 
Kesho ni raha tupu. Wakitoka sare watakuwa wamemalizana wao kwa wao, Azam akishinda Simba aibu tupu, Simba akishinda anasaidia kupeleka kombe jangwani, sasa hapa: Mkuna na mkunwaji, nani huona raha?
mkuu ina maana matokeo yoyote ni poa kwa upande wetu.

hata hivyo ningependa Azam afungwe, ila sipendi Simba ashinde.!
 
Kuna mzungu mmoja nimekaa nae hapa jukwaani aniuliza hii yanga ina asili ya latin america kwa jinsi wanavyosakata kabumbu
 
Back
Top Bottom