Nyonga mkalia ini
Member
- Mar 11, 2013
- 38
- 7
mpira umeanza,Yanga wamevaa jezi ya kijani huku mabegani kuna michirizi ya njano na Oljoro wamevaa blue bahari mabegani kuna rangi nyeupe
mkuu mbona unaanza kutupa wasiwasi kama utatimiza ahadi!!!Ngoja kwanza Yanga afungwe kwanza mkuu!
Mkuu ndo mchezo wako nn? Lakini sishangai sana jangwani ndo michezo yao walikuwa na kocha mvaa kikuku wachezaji kulala mzungu wa nne nkYanga akifungwa leo 'nibandueni'
Yanga akifungwa leo 'nibandueni'
mkuu ulimmiss sana kwenye hiyo issue ya kubanduliwa baada ya mechi!Nilikumiss sana kamanda wangu, karibu sana.
Mkuu ndo mchezo wako nn? Lakini sishangai sana jangwani ndo michezo yao walikuwa na kocha mvaa kikuku wachezaji kulala mzungu wa nne nk
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Nilikumiss sana kamanda wangu, karibu sana.
tusije kosa kubandua mtu hapa!daah yanga wanapata goli
nani mfungaji!Yanga 1 Oljoro 0
daah yanga wanapata goli
Yanga akifungwa leo 'nibandueni'
hawa yanga hawajui kama sisi tuna ahadi ya kubandua!du chezea yanga
mkuu unahatari aiseeYanga AKIFUNGWA nibandueni bhana!
mkuu ulimmiss sana kwenye hiyo issue ya kubanduliwa baada ya mechi!
daah yanga wanapata goli