Yanga vs JKT Oljoro!!!

Yanga vs JKT Oljoro!!!

Pamoja sana wana Yanga...

Yanga; Daima mbeeele....Nyuma mwiko
 
mkuu ina maana matokeo yoyote ni poa kwa upande wetu.

hata hivyo ningependa Azam afungwe, ila sipendi Simba ashinde.!

utakufa aisee kwa mtazamo huo... simba kesho anapotea..
 
Leo yanga wamejitahidi kupata goli zaidi ya moja.
 
Wakuu naomba mnifikishie salaam kwa St Ivunga, mwambie safari hii aje kavaa UPAPI tayari kwa kupakatwa ha ha ha ha
 
Mkuu IDAWA mbona ulisema bora kushabikia timu yoyote lakini si SIMBA na MAN U kulikoni leo unataka simba ishinde?
 
Full time: Yanga 3-0 JKT Oljoro.

Hongera Yanga kwa matokeo safi. Azam na Simba kazi ni kwao. Mwaka jana walipanga Simba awe bingwa, Azam wa pili, mwaka huu itakuwaje?
 
Wakuu naomba mnifikishie salaam kwa St Ivunga, mwambie safari hii aje kavaa UPAPI tayari kwa kupakatwa ha ha ha ha
Hivi SI yupo? Long taim sijamtia machoni humu ndani.
 
leo wametoa mshiko wa maana kama ambao azam huwa wanatoa. Sijui kwa nini Rage anakuwa na mgumu wa kutoa hela..!
kwaani hela ni majan kua utaokota maporini, maharage hana mia ko alie tuuuu
 
Back
Top Bottom