Yanga vs JKT Oljoro!!!

Yanga vs JKT Oljoro!!!

Mkuu IDAWA mbona ulisema bora kushabikia timu yoyote lakini si SIMBA na MAN U kulikoni leo unataka simba ishinde?

mkuu NGANU hujanisoma vizuri.
nimesema" sitaki Azam afungwe ila sipendi Simba ashinde"
 
Last edited by a moderator:
Sherehe za UBINGWA zitafanyika mkoa gani?
kwa ajili ya mashabiki na wapenzi wa YANGA SC mliomo katika jukwaa hili.
 
Back
Top Bottom